sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
Kitu kimoja magufuli anatakiwa afanye ili aheshimiwe ni awaweke ndani Maraisi wote waliopita. Haiwezekani waziri afanye ufisadi halafu ikulu isijue.mikataba yote ya madini nchini itungwe halafu raisi asijue. Maraisi waliopita wameitia nchi hasara kwa kuhusika na uzembe halafu wapo wanatesa mtaani.NI UPUMBAVU MTUPU KUJIFANYA UNANYOOSHA NCHI WAKATI HUJANYOOSHA NCHI VIZURI.washughulikie wote uone kama Tundu lisu ataropoka.
Kingine chapili abadirishe katiba,raisi asipewe kinga naapunguziwe madaraka.Hii dhana itaondoa utikili wa vyeo na nguvu za raisi nakupunguza udikteta. Kwenye katiba watu wapewe uhuru wakuongea wanachojisikia na ilindwe na mahakama.VIPI WEWE MAONI YAKO!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingine chapili abadirishe katiba,raisi asipewe kinga naapunguziwe madaraka.Hii dhana itaondoa utikili wa vyeo na nguvu za raisi nakupunguza udikteta. Kwenye katiba watu wapewe uhuru wakuongea wanachojisikia na ilindwe na mahakama.VIPI WEWE MAONI YAKO!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app