Kama mimi ni wewe kwa hiyo bajeti ningetafuta Microsoft Lumia 435 DS , ni simu ya window 8.1 upgradable to win 10, Ram 1GB, HDD 8GB , double line . Ni simu ambayo sio yebo yebo sana hata hazipo sana mitaani ingawa camera yake ni ndogo.
Kama mimi ni wewe kwa hiyo bajeti ningetafuta Microsoft Lumia 435 DS , ni simu ya window 8.1 upgradable to win 10, Ram 1GB, HDD 8GB , double line . Ni simu ambayo sio yebo yebo sana hata hazipo sana mitaani ingawa camera yake ni ndogo.
kwa 250,000 chukua lumia 535 camera 5mp, ram1gb, internal8gb iko fasta mno achana na mitekno na huawei inasumbua sometime. picha ni kali sana selfo 2mp window.8 upgradable to window10 yan ina mambo mazuri mno zpo line moja na double line.