Ni nini hiki?

Mkuu pole kwa majanga yaliyokukuta, kwa uelewa wangu mdogo itakuwa umegusa kizaz maana iyo chuma mboga ni mbaya sana au inawezekana uyo demu ana mimba so utakuwa umegusa mimba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu asante kwa ushauli, nimeupokea lkn sitaki niahid kwmb kama ntaufanyia kaz au lah... Lakin nimeupokeapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hizo hesabu zake kuna uwezekano mkubwa hiyo ikawa blood spot of ovulation na hiyo homa ni dalili za ovulation (hot period). Jiandae kuletewa mimba kijana,huyo kaja kutegesha hahahaa
 
Week mbili tangu amalize breed automatically atakuwa kwny siku zake za hatar, jiandae na neno "sizioni siku zangu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama ni after two weeks alikuwa kwenye siku ya 14 ambayo ni ovulation mimba imenasa tayari
Kwa hizo hesabu zake kuna uwezekano mkubwa hiyo ikawa blood spot of ovulation na hiyo homa ni dalili za ovulation (hot period). Jiandae kuletewa mimba kijana,huyo kaja kutegesha hahahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…