Ni nini hiki?

Pengine ana shida kwenye kizazi. Au magonjwa ya zinaa.
Mpeleke hospitali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana. Dah mzee naona ulikuwa unaloweka tu. Sasa mwagia dushe spirit faster kabla virusi havijazama ndani. Within few seconds huwa vinashangaa shangaa nje ya mashine kabla havijaona hamna ishu ya maana na kuzama ndani.

Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nikiwa nikumhisi demu ana ngwengwe baada ya ku withdrawl fasta naenda bafuni...

Nachukua sabuni ya unga (detergent) natengeneza povu la kutosha, baada ya hapo nachukua dushe langu naliloweka na kuliosha kwa muda then narudi chumbani kuendelea na gemu...

Nimekula ma barmaid wengi classic kwa mtindo huu, namshukuru Mungu na kuruka kote huko HIV nilikuwa naiskia tu...
 
Daah watu bado mnapiga kavu viwanja vya ugenini?....mnatisha.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…