Ni nini hasa sababu za usaliti katika ndoa?

Ni nini hasa sababu za usaliti katika ndoa?

Zipo Sababu zaidi ya miilioni moja sema inategemea ntu na ntu...
1.Kuchokana
2.Dharau/Kejeli kwa upande m1
3.Kubadirika kwa mazoea ya mwanzo
4.Kujiachia vya kutosha na kupoteza mvuto
5.Maradhi
6.Uzazi
7....................................
 
Zipo Sababu zaidi ya miilioni moja sema inategemea ntu na ntu...
1.Kuchokana
2.Dharau/Kejeli kwa upande m1
3.Kubadirika kwa mazoea ya mwanzo
4.Kujiachia vya kutosha na kupoteza mvuto
5.Maradhi
6.Uzazi
7....................................
huku kujiachia unamaanisha hata wanaume mnapolea kitambi si unapunguza mvuto? au wanawake tu, kuna mdada mmoja yeye anajinyima kula asinenepe kisa mumewe kamuonya dada wa watu mpaka kapata ulcers , ila mumewe tambi hiloo, ila sbb ya usaliti ni tamaa tu hakuna cha mvuto wala nn hapo
 
kusahau kuwa ndoa ni taasisi inayoendeshwa zaidi kiupendo na maadili zaidi ya hisia za juu juu tu
 
Nilisoma mahala ndani ya JF hii kuwa uasliti wa mwanaume unatoka mdomoni lkn wa mwanamke unatoka moyoni. repair ya usaliti wa mdomoni ni rahisi lakini wa moyoni ni vigumu sana.
 
huku kujiachia unamaanisha hata wanaume mnapolea kitambi si unapunguza mvuto? au wanawake tu, kuna mdada mmoja yeye anajinyima kula asinenepe kisa mumewe kamuonya dada wa watu mpaka kapata ulcers , ila mumewe tambi hiloo, ila sbb ya usaliti ni tamaa tu hakuna cha mvuto wala nn hapo

Wanawake wakinenepa wanakuwa shapeless kama puto(Samahani lakini) au umesahau kwamba mwanamke mvuto
 
Fafanua na 6

Kipindi cha ujauzito na kujifungua kuna baadhi ya wanawake wanakuwa wanachoka sana na pia wakati wakinyonyesha kuna baadhi ya wanawake hawataki kutoa tunda coz wanaogopa kum-bemenda mtoto thus y men wanatoka nje(Sio wote)
 
Nilisoma mahala ndani ya JF hii kuwa uasliti wa mwanaume unatoka mdomoni lkn wa mwanamke unatoka moyoni. repair ya usaliti wa mdomoni ni rahisi lakini wa moyoni ni vigumu sana.

Aisee hii ya wanawake mpaka nimeogopa
 
Pia samtym uchafu wa mmoja, maranyingi huwa kwa wanawake wakishaolewa yale mapouda, utuli na pamba flan sasa zinatupwa,anaanza kushindia tenge na ndala, so mdau anaenda kuchek mambo mazuri uko nje, pia uzazi; mtoto wa kwanza kupewa nafasi ya juu kuliko baba, rejea mautamu ya nyumba ndogo.
vilevile, sababu nyingne yawezekana ikawa ni uongo wakati wa kampeni, jieleze mambo mengi ila sasa umechukua nchi utekelezaji sifuri.demu kumbe alipenda yale maahadi sasa anaendelea kuyatafuta huko nje,na kumbuka atafutae hachoki akichoka......
pia mwanaume chapombe sana,masigara na maugolo yenu haya na kushinda na laptop mara FB mara JF afu ndo mtu apite akuone humu jukwaan mara nataka urafiki, nani sjui anafuta mchumba, mara Natalia kasema mchumba pesa sijui, basi wanawake wengi, waaache wale magubegube na mashankupe, huwa hasira zao huzitolea nje kwa mashost, basi apo ataambiwa atafute pia kidumu ili nawe awe anatuliza moyo, hali kadhalika, umalaaya wa mmoja, huweza kumchochea mwingne, matumizi mabaya ya simu,.
ila tu hapa ijulikane kuwa mila zetu mwanamke akimilki wanaume wawili huwa ni malaya, lakini mwanaume akimiliki zaidi ya wawili au watau huuitwa SHABABI. kumbuka baba huwa ana wake wawili/watati ila kamwe mama huwa hana waume wawili.
asanteni.
 
Wanaume kutokua waaminifu,hapo ndo kutokuelewana kunpoanzia kwenye ndoa nyingi
 
ni tabia ya mtu tuu kuwa muhuni,sasa kama mke wako anashindia kitenge na maswala ya kujiweka hovyo(kujiachia kupita kiasi ) cha msingi ni kumkumbusha khs kujiweka fresh na mambo yataenda fresh tuu. tukumbuke ukimwi upo jamani watanzania wenzangu,tusipoangalia tutakufa wote na hatakuwa na wakubaki zaidi ya watoto ambao wataachwa yatima. nani atawalea? me nikifikiria khs ukimwi nakosa amani kabisa. tunadili tabia.
 
Back
Top Bottom