Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,353
- 15,074
Hivi ni nini hasa kimemsukuma Raisi Jakaya kikwete kutaka kuandika Katiba nyingine?
Kwa nijuavyo mimi nchi nyingi huandika Katiba Mpya, pindi pale linapotokea tatizo ktk nchi husika, kwa mfano Vita, au Mapinduzi n.k.
Sasa ningependa kujua hapa kwetu ni nini hasa kimemsukuma Raisi kikwete kuamua kutumia gharama kubwa namna hiyo kutengeneza Katiba nyingine ilihali nyingine tayari Ipo?
Kwa nijuavyo mimi nchi nyingi huandika Katiba Mpya, pindi pale linapotokea tatizo ktk nchi husika, kwa mfano Vita, au Mapinduzi n.k.
Sasa ningependa kujua hapa kwetu ni nini hasa kimemsukuma Raisi kikwete kuamua kutumia gharama kubwa namna hiyo kutengeneza Katiba nyingine ilihali nyingine tayari Ipo?