mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,282
Ndio shida yenu uwezo wenu wa kufikiri ni zerouzi wa kipuuzi kama huu ningekuwa modereta ningeufuta na ningepiga bani hii nguruwe mwaka mzima.
Ndio shida yenu uwezo wenu wa kufikiri ni zerouzi wa kipuuzi kama huu ningekuwa modereta ningeufuta na ningepiga bani hii nguruwe mwaka mzima.
teh teh nimecheka sana hasa hapo pa ku mdowngrade lissu. kwani mnyaa ni cuf lipumba au cuf seif.MAPOKEZI MAKUBWA KUFANYIKA D'SALAAM KUMPOKE MHE HABIBU MNYAA.(MBUNGE)
Tayari maandalizi KABAMBE yanaendelea mkoani D'Salaam kumpokea Shujaa wetu Mhe MOHAMEDI HABIBU MNYAA Mbunge wa Bunge la AFRIKA MASHARIKI.
Ni baada ya KUWASHINDA mafisadi na wauza Dawa za KULEVYA wakiongozwa na mtuhumiwa mkuu wa madawa ya KULEVYA Freeman MBOWE (MAKENGEZA).
WATANZANI wote mashuhuda Jana TUNDU la KISU liliumbuka baada ya kushindwa kutafsiri Kanuni za uchaguzi wa EALA.
KILA TAWI LIJIANDAE FUSO TATU MAPOKEZI YATAANZIA MBEZI MWISHO.
Taarifa kamili tutajuzana STAY TUNE hapa hapa
"IKISHINDA CUF TUMESHINDA SOTE"
[HASHTAG]#NaBado[/HASHTAG] David maphone katika ubora wake miaka 800.
ok kumbe inauma kuita watu majina. hivi mipinzani kama tanzagiza na mange kimambi inapotukana matusi viongozi hadi rais wa jamhuri na kushangiliwa na michadema hapo mnaona patamu.. au sioMleta uzi umejiunga hapa JF juzi jmosi..
Jifunze kuandika ukiwa umetulia..
Huna haja ya kuandika kwa mihemko.
Huna haja ya kumwita Mbowe "makengeza " kwani hata wewe hapo ulipo unaweza kuwa kipofu kwa sekunde chache tu.
MAPOKEZI MAKUBWA KUFANYIKA D'SALAAM KUMPOKE MHE HABIBU MNYAA.(MBUNGE)
Tayari maandalizi KABAMBE yanaendelea mkoani D'Salaam kumpokea Shujaa wetu Mhe MOHAMEDI HABIBU MNYAA Mbunge wa Bunge la AFRIKA MASHARIKI.
Ni baada ya KUWASHINDA mafisadi na wauza Dawa za KULEVYA wakiongozwa na mtuhumiwa mkuu wa madawa ya KULEVYA Freeman MBOWE (MAKENGEZA).
WATANZANI wote mashuhuda Jana TUNDU la KISU liliumbuka baada ya kushindwa kutafsiri Kanuni za uchaguzi wa EALA.
KILA TAWI LIJIANDAE FUSO TATU MAPOKEZI YATAANZIA MBEZI MWISHO.
Taarifa kamili tutajuzana STAY TUNE hapa hapa
"IKISHINDA CUF TUMESHINDA SOTE"
[HASHTAG]#NaBado[/HASHTAG] David maphone katika ubora wake miaka 800.
Wauza madawa ya kulevya hawatapenya
Go gooo goooo gooooo mnyaa!! Go mnyaa go mnyaa gooooooooo
Lengo la elimu huwa ni kuelimisha ila cha ajabu ni pale ambapo pamoja na kupata elimu lakin bado mtu ndio anazidi kuwa mjinga sijui tafsiri yake ni ipi, ushabiki mwingine wa kijinga sana sana na unakuvua nguo , wauza madawa wote wapo kwenye vyombo vya usalama cha ajabu ni pale muuza madawa anapo shiriki shughuli za kujenga taifa na kutunga sheria za nchi na kupanga budget ya nchi, kweli kundi hili lenu mmejaa vichaa . tena viachaa walizidiwa , wagonjwa wa akili walio pititiliza ,karudishwa na wananchi!!
Ni baada ya KUWASHINDA mafisadi na wauza Dawa za KULEVYA wakiongozwa na mtuhumiwa mkuu wa madawa ya KULEVYA Freeman MBOWE (MAKENGEZA).
Je wewe ni nsukule wa ccm?Chadema acheni kuivuruga CUF, CUF wanashindwa kuelewana kwa sababu yenu
Napata shaka kama ni GAL.... Je unazijua amri? Amri Kubwa nazo ni mbili tu, moja wapo ni Upendo kwa jirani yako ...alaaniwe anae kosoa uumbaji wa Mungu..lakini siku si nyingi..MAPOKEZI MAKUBWA KUFANYIKA D'SALAAM KUMPOKE MHE HABIBU MNYAA.(MBUNGE)
Tayari maandalizi KABAMBE yanaendelea mkoani D'Salaam kumpokea Shujaa wetu Mhe MOHAMEDI HABIBU MNYAA Mbunge wa Bunge la AFRIKA MASHARIKI.
Ni baada ya KUWASHINDA mafisadi na wauza Dawa za KULEVYA wakiongozwa na mtuhumiwa mkuu wa madawa ya KULEVYA Freeman MBOWE (MAKENGEZA).
WATANZANI wote mashuhuda Jana TUNDU la KISU liliumbuka baada ya kushindwa kutafsiri Kanuni za uchaguzi wa EALA.
KILA TAWI LIJIANDAE FUSO TATU MAPOKEZI YATAANZIA MBEZI MWISHO.
Taarifa kamili tutajuzana STAY TUNE hapa hapa
"IKISHINDA CUF TUMESHINDA SOTE"
[HASHTAG]#NaBado[/HASHTAG] David maphone katika ubora wake miaka 800.