Kuna jamaa tulikuwa tunasoma naye, siku moja akaja home na hiyo kitu. Nikajifanya mnaa, nikabwia nyingi.
Karibia nife aisee. Dunia ilikuwa inazunguka kwa kasi halafu kibaya zaidi tulikuwa juu ghorofani, wenyewe tulikuwa tunapaita summit. Ile siku siwezi kusahau.
Huyu jamaa yangu mara ya mwisho kumuona ilikuwa karibu na Wizara ya Elimu pale magogoni, alishakuwa chizi. Sijui kama alipona.