GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Tafadhali kama hayajajumuishwa na yamesahaulika kwa bahati mbaya GENTAMYCINE naomba yajumuishwe upesi kwani yatatusaidia Kuutangaza Utalii wa Uzembe na Kutuonyesha Watanzania kupitia Viongozi wetu tusivyokuwa 'Serious' kwa mambo ya Msingi kama siyo ya maana.
Nitashukuru Ombi langu likikubaliwa na nashauri kama ambavyo tumeenda Kuzima Mwenge Jana Chato na kuweka Shada la Maua kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999 hata hiyo 'Filamu' ya 'Royal Tour' nayo 'ikazinduliwe' hapo hapo Kaburini Chato.
Nitashukuru Ombi langu likikubaliwa na nashauri kama ambavyo tumeenda Kuzima Mwenge Jana Chato na kuweka Shada la Maua kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999 hata hiyo 'Filamu' ya 'Royal Tour' nayo 'ikazinduliwe' hapo hapo Kaburini Chato.