Ni mafuriko, Tabora yazizima


sishangai Tabora kwani hata maendeleo yao yanaonekana ccm wameichagua wenyewe mbele kwa mbele
 
watu walienda kushangaa ndio maana alipouliza wangapi watampa pombe kula wakanyanyua mikono watu saba tu.
 
Mmmmh hata hamna mafuriko Tabora ninayoijua hapo kulikuwa hamna watu zaidi ya wanafunzi na washangaa wasanii tu
 
Acha ulingo weye...sijui hao watu kwanza mlipowatoa ni wapi. kwanza utadhani hata hakuwepo. pamoja na kuja na hao wasanii ambao sasa hivi kwa sababu ya matendo wanaitwa mobile big brother
 
mbona mmeukimbia uwanja aliifanyia mkutano Lowasa? mnampeleka mama wa watu kwenye uwanja wa mpira mita miamoja halaf mnasema mafuriko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…