NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 592
Kwa wale wapenzi wa Soka Bongo,naomba tulijadili hili.
Binafsi sioni kama kuna ulazima wa kuwa na kocha wa kigeni ktk youth ranks e.g U17 au U 20,kwa sababu naamini tunao makocha wa hapa nyumbani wenye uwezo wa kuzinoa hizi timu,mradi tu wapewe mikataba ya kueleweka, wapate vifaa na support nzuri ya wadau.
Kwa mfano,tunaweza tunaweza kumpa Mohammed Rishard "Adolf"afundishe U17 kwa kushirikiana na Mbwana Makata, vilevile tunaweza kumpa Sylvester Marsh afundishe U20 akishirikiana na Rogatius Kaijage.
Nimefuatilia na kuona kuwa hawa ma-TX wetu licha ya kupewa hela ndefu,bado mafanikio yao hayaridhishi,kwenye youth ranks.
Binafsi sioni kama kuna ulazima wa kuwa na kocha wa kigeni ktk youth ranks e.g U17 au U 20,kwa sababu naamini tunao makocha wa hapa nyumbani wenye uwezo wa kuzinoa hizi timu,mradi tu wapewe mikataba ya kueleweka, wapate vifaa na support nzuri ya wadau.
Kwa mfano,tunaweza tunaweza kumpa Mohammed Rishard "Adolf"afundishe U17 kwa kushirikiana na Mbwana Makata, vilevile tunaweza kumpa Sylvester Marsh afundishe U20 akishirikiana na Rogatius Kaijage.
Nimefuatilia na kuona kuwa hawa ma-TX wetu licha ya kupewa hela ndefu,bado mafanikio yao hayaridhishi,kwenye youth ranks.