Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Ni kweli nyani wa Mikumi ukiwapa chipsi hudai uwapatie na na tomato sauce?
Hamjamboni nyote?
Muda huu niipo na jamaa wa kimakonde hapa Kijiweni anadai nyani wa maeneo ya Mikumi Mkoani Morogoro wana vituko vya ajabu hasa kwa Wasafiri waendao Mikoani kutokea Dar es salaam
Anadai kuwa ukianua kuwapa chakula kama chipsi basi nyani hao hukagua na wakiona hakuna tomato sauce basi huanza kudai kwa uwapatie Kwa kutumia ishara ya mikono yao!
Wadau Sina hakika na nilichoambiwa na Ndugu yangu huyu ila naomba mwenye ushahidi atupatie
Sabato njema
Hamjamboni nyote?
Muda huu niipo na jamaa wa kimakonde hapa Kijiweni anadai nyani wa maeneo ya Mikumi Mkoani Morogoro wana vituko vya ajabu hasa kwa Wasafiri waendao Mikoani kutokea Dar es salaam
Anadai kuwa ukianua kuwapa chakula kama chipsi basi nyani hao hukagua na wakiona hakuna tomato sauce basi huanza kudai kwa uwapatie Kwa kutumia ishara ya mikono yao!
Wadau Sina hakika na nilichoambiwa na Ndugu yangu huyu ila naomba mwenye ushahidi atupatie
Sabato njema