Ni kweli mafisadi wanaogopwa?

Ni kweli mafisadi wanaogopwa?

wa hapahapa

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
7,460
Reaction score
4,402
Mbona wengi wapo huru na wapo katika nafasi za uongozi? Ni kweli hawakamatiki/untouchable! Pengne jinai ni halali kwao.
 
ktk EPA, ni wachache walioshindwa kurudisha pesa ndio walikutwa na hatia..

richmonds na eskrow, je wahusika wapo safi?
 
Sikuzote mwiz kamwe hawez kumuwajibisha mwiz mwenzake.yaani at a Wa tz wanao waskilza nakuwapigia kula hawa jamaa inatakiwa wapimwe ubongo.
 
Back
Top Bottom