Hali inayotokea bara mwaka huu kule zanzibar imekuwa ni kawaida kwani kama ni watu kujaa kwenye mikutano ya cuf na kutundika mibendera kila mahali imekuwa hivyo toka 1995 lakini chaguzi zote maalim seif anaanguka,kwahiyo huyo lowassa naona atazimia siku hiyo magufuli atapotangazwa kuwa rais