Ndugu yangu physics kama ilikusumbua utajuta ukihamia pcb,mi naongea kwa experience achana na swala la kuhama kombi,hiyo cbg ina uwanja mpana wa kozi za chuo na ni rahisi zaidi kufaulu kuliko pcb,usidanganyike na misifa ya kosoma pcb mwisho wa siku uambulie div4,pysics ya a level si mchezo lazima uwe kichwa cha hesabu pia,kwa kupata d ya pysics o level sidhani kama utauweza huo mziki,chukua hatua