Ni kitu gani kinawafanya wadada kutangaza shida baada ya kuingia katika uhusiano mpya?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,217
3,694
Kuna utafiti nimeufanya miaka ya hivi karibuni kuwa asilimia 80 ya wadada wengi ukishaanzisha nae uhusiano nae kitu cha kwanza anachofanya ni kukutangazia shida zake uweze kumsaidia.

Kitu ninachojiuliza je ni kweli wadada wengi huamini kuingia katika uhusiano ndio njia pekee ya kumaliza shida walizo nazo

Na je inawezekana wadada wengi maisha hivi karibuni maisha yamewachanganya kuliko wanaume
 
Unaogopa au hupendi kuelezwa shida na wadada? Hahahahaha! Wapo wanaume wanaopenda na wanataka wadada wawaeleze shida zao.
 
Sasa shida zao wapeleke wapi?!
sasa unafikiri mambo ya mpz wako kukugeuza wako wewe ndo mdingiii mapenzi kidogo vizinga vingi leo atataka suruali na blouse kesho skit na jeans
kesho yake tena atataka simu ya gharama jamani mtuoneeni huruma kidogo
 
Ndio maana nimepumzika kutongoza maana mapenzi na watoto wazuri bila pesa ni ndombolo tuu
Ni mmoja tu boom liliingia akanipa atm card na password nikajihudumie ila tatizo ni kuwa vigezo vyake havikuendana na nnavyovitaka
 
kuna utafiti nimeufanya miaka ya hivi karibuni kuwa asilimia 80 ya wadada wengi ukishaanzisha nae uhusiano nae kitu cha kwanza anachofanya ni kukutangazia shida zake uweze kumsaidia.

kitu ninachojiuliza jee ni kweli wadada wengi huamini kuingia katika uhusiano ndio njia pekee ya kumaliza shida walizo nazo

na jee inawezekana wadada wengi maisha hivi karibuni maisha yamewachanganya kuliko wanaume
Mi nadhani hii inatokea pale mwanaume umefanya makosa kwa kumfuata mwanamke asiyesahihi kulingana na vigezo vyako.
 
Both mwanaume na mwanamke should have their standards bhana..on my opinion naona mwanaume au mwanamke atamtreat mpenzi wake kutokana na yy anvyojipresent...kwamfano wanaume wanawaheshimu Sana wanawake wenye ukali kidogo na kuwachukulia poa wale wapole na wenye huruma...same case mwanamke anamsoma mwanaume..atajua tu ur weakness na atajua akupelekeshe vipi.Ndo ivo,its war..ko kufall in love kichwakichwa bila kumwelewa ur partner ndo unajikuta kwenye situaxns za kuliwa Pesa af unaishia kumlaumu mwanamke akat ulijirahisisha mwenyewe...men forget that they can also play hard to get.
 
Hata kama umeoa j2 km hii ukiamka mkeo lazima aombe hela ya saloon hata km anafanyakazi...km ulikuwa huwezi kuhudumia b4 hujaoa basi ishi mwnyw
kama umeowa haina shida ila shida tunazungumzia uhusiano kati ya mtu na mchumba wake
 
ukiwa muoga kutangaziwa shida usitongoze watto wazr utaishia kuwaita mashemeji tu
 
Back
Top Bottom