Ni kitu gani kimemkuta Polepole?

Nunua Toka UK

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2023
Posts
303
Reaction score
587
Huyu muheshimiwa kila nikimwona ananikumbusha kile kikopo cha mafuta alichoachiwa pale Dodoma.
TUKATAE WAHUNI!


 
Analamba maisha safi balozi huyo stahiki anazopewa siyo mchezo mchezo
 
Unamaanisha nini mkuu ?!!

Mheshimiwa Balozi wetu anatutangaza vyema watanzania huko nje !

Kudos kwake !!
 
Funguka kidogo
takataka mchumia tumbo. wakati wa magufuli alikuwa mavi takataka bila huruma ya demokrasia kuwa inavujwa na tunaweka historia mbaya...as long as alikuwa anajirundikia hela, basi kwake kila kitu kilikuwa shwali wacha wengine wafe huko MKIRU
 
... CCM inafanyia kazi kinachoongelewa....kuna bonge la chuo pale Kibaha....

Ni mwendo wa itikadi bora kwa miaka elfu moja ijayo !!
CCM kama Nchi yenyewe imewashinda hadi mnafikia KUIBA KURA ZA WANANCHI labda mjenge Chuo cha kufunza WIZI WA KURA.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/cMBS4qMPJ8M?si=yQV2tmsnofc7Awr4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…