Abigail2011
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 519
- 230
Kama ungeniamsha usiku wa manane ukaniuliza nini kifanyike Tanzania sekunde hii!,Mimi.......... Ningejibu "MAGAMBA MUST GO".Haiwezekani eti nchi ina serikali,mamlaka ya dawa na chakula (TFDA),polisi,Jeshi mipakani,Mbwa na farasi wanaotengewa budget ya mamilioni;Leo unaambiwa kuna DICLOFENAC feki mitaani!;dhamana ya maisha yetu ipo kwa nani?.Eti ndugu zanguni wana JF!.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums