Ni John Pombe Magufuli

Ni John Pombe Magufuli

Kevoo_keroo

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
771
Reaction score
163
Katika historia ya nchi yetu siku ya kesho jumapili watanzania tutapiga kura kuchagua viongozi wa nchi yetu. watanzania wanataka yafuatayo kutoka kwa viongozi watakaowachagua
1. rais mwenye uwezo wa kushughulikia suala la ufisadi kwa vitendo
2. rais atakayeweka mazingira mazuri katika kuongeza kipato cha mtanzania mmojammoja na apato la taifa kwa ujumla
3.rais atakayeweka mazingira mazuri kwa kila mtanzania kufaidi hazina ya nchi yetu
4. rais atakayedumisha amani, umoja, muungano, na atakayewajali wananchi wote bila kuwabagua

nilipoona kiu hiyo ya watanzania nikaangalia list ya wagombea wote wa urais na ndipo nikagundua kuwa kumbe kiu ya wapiga kura ni mtu mmoja kati ya wale nane wanaogombea urais ambaye ni Dr. John Pombe Magufuli. huo ndio utakuwa wimbo utakaoimbwa katika karatasi za wapiga kura kesho. nasubiri kwa hamu kuapishwa kwake ili watanzania wajionee jinsi kazi inavyofanywa.
 
12138472_168348230175891_7214269484804542542_o.jpg
 
Wingi wa watu hadi sheeeeda
Hakika mwaka huu kuna upinzani ila magufuli kiboko yao
Wanabaki kukimbiana tuu na kumtafuta mchawi nani kumbe jembe lenyewe magufuli lipo kazini
 
magufuli ni kiongozi bora.......

kma obama na putin
 
Katika historia ya nchi yetu siku ya kesho jumapili watanzania tutapiga kura kuchagua viongozi wa nchi yetu. watanzania wanataka yafuatayo kutoka kwa viongozi watakaowachagua
1. rais mwenye uwezo wa kushughulikia suala la ufisadi kwa vitendo
2. rais atakayeweka mazingira mazuri katika kuongeza kipato cha mtanzania mmojammoja na apato la taifa kwa ujumla
3.rais atakayeweka mazingira mazuri kwa kila mtanzania kufaidi hazina ya nchi yetu
4. rais atakayedumisha amani, umoja, muungano, na atakayewajali wananchi wote bila kuwabagua

nilipoona kiu hiyo ya watanzania nikaangalia list ya wagombea wote wa urais na ndipo nikagundua kuwa kumbe kiu ya wapiga kura ni mtu mmoja kati ya wale nane wanaogombea urais ambaye ni Dr. John Pombe Magufuli. huo ndio utakuwa wimbo utakaoimbwa katika karatasi za wapiga kura kesho. nasubiri kwa hamu kuapishwa kwake ili watanzania wajionee jinsi kazi inavyofanywa.
Hilo halina ubishi ni Rais wetu
 
Jamaa kajizoea kura kwa kila chama na asivyokuwa mbaguzi hakika ushindi wake upo kama kawaida
 
Angejibu la KIMADA, angejichukulia umaarufu sana.

List of shame baadhi yao kawapanga wamuombee kura. KWELI NI KIBOKO WA UFISADISHAJI.
 
Mengi ni mchaga, so hawezi enda kinyume na chama chao
ila utaliona litakavyokuwa linajipendekeza kwa magufuli akiapishwa, natamani alipotezee kama jk alivyolifanyia
 
Back
Top Bottom