ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,569
- 44,790
Suala la ufisadi limekuwa liikimbiwa wimbo kila siku lakini tulikuwa hatuwajui mafisadi wenyewe.ila kwa Sasa tumeanza kuwajua.Bahati mbaya sana watu mategemeo Ni kwamba mafisadi lazima wawe kutoka majina makubwa ya kisiasa lakini mjue kwamba Tanzania ilikuwa imeoza kweli.
Mafisadi ndio hao hao wanaotapeli wakulima ,mafisadi ni wale waliokuwa katika mtandao wa wauza madawa.waziri wa sheria tumeona kazi zako unafanikiwa wenye nchi tunafurahi kwa Sasa kila sehemu inajitumbua yenyewe.
Wasiolipa Kodi wanajulikana na ndio maana mabadiliko ya kisheria yanalenga pazuri kubadilisha mazoea ya mifumo.
Mitaandao yote ya mafisadi imemulikwa ikiwemo njia wanazotumia kuingiza hela chafu.
Mategemeo yangu Serikali itakwenda kupaangalia kwa kina eneo la utalii.Bandarini tushawadhibiti vizuri kwenye NGO"S tunaendelea kubadhibiti ili zifanye malengo hususa.mafisadi wengine wapo kwenye taasisi za makanisa Fulani hapa nisipasemee Sana
Mafisadi ndio hao hao wanaotapeli wakulima ,mafisadi ni wale waliokuwa katika mtandao wa wauza madawa.waziri wa sheria tumeona kazi zako unafanikiwa wenye nchi tunafurahi kwa Sasa kila sehemu inajitumbua yenyewe.
Wasiolipa Kodi wanajulikana na ndio maana mabadiliko ya kisheria yanalenga pazuri kubadilisha mazoea ya mifumo.
Mitaandao yote ya mafisadi imemulikwa ikiwemo njia wanazotumia kuingiza hela chafu.
Mategemeo yangu Serikali itakwenda kupaangalia kwa kina eneo la utalii.Bandarini tushawadhibiti vizuri kwenye NGO"S tunaendelea kubadhibiti ili zifanye malengo hususa.mafisadi wengine wapo kwenye taasisi za makanisa Fulani hapa nisipasemee Sana