O Ommie2009 Member Joined Apr 25, 2014 Posts 12 Reaction score 2 Dec 16, 2015 #1 Nahitaj cm bora yenye gharama (bei) ya kawaida yaani kati ya 100000 na 150000/=. Je ni aina gani ya cm wadau inafaa zaidi?
Nahitaj cm bora yenye gharama (bei) ya kawaida yaani kati ya 100000 na 150000/=. Je ni aina gani ya cm wadau inafaa zaidi?
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,214 Reaction score 28,133 Dec 16, 2015 #2 Ommie2009 said: Nahitaj cm bora yenye gharama (bei) ya kawaida yaani kati ya 100000 na 150000/=. Je ni aina gani ya cm wadau inafaa zaidi? Click to expand... Mkuu, unahitaji nini?? hapa sio facebook!!
Ommie2009 said: Nahitaj cm bora yenye gharama (bei) ya kawaida yaani kati ya 100000 na 150000/=. Je ni aina gani ya cm wadau inafaa zaidi? Click to expand... Mkuu, unahitaji nini?? hapa sio facebook!!
IamError_D JF-Expert Member Joined Dec 21, 2011 Posts 440 Reaction score 116 Dec 16, 2015 #3 Ingia JUMIA leo kabla ya saa 6 usiku uweke oda yako ya hii simu huawei y625 yenye punguzo ya 52%
T tamadunmusic Member Joined Oct 16, 2015 Posts 66 Reaction score 23 Jan 3, 2016 #4 Numerator said: Ingia JUMIA leo kabla ya saa 6 usiku uweke oda yako ya hii simu huawei y625 yenye punguzo ya 52% View attachment 311262 Click to expand... Sorry, naomba kujua eti, ni namna gani unaweza kununua bidhaa JUMIA, je kuna matumizi ya tembo MasterCard kama kwingine au inakuaje? Natakunguliza shukrani
Numerator said: Ingia JUMIA leo kabla ya saa 6 usiku uweke oda yako ya hii simu huawei y625 yenye punguzo ya 52% View attachment 311262 Click to expand... Sorry, naomba kujua eti, ni namna gani unaweza kununua bidhaa JUMIA, je kuna matumizi ya tembo MasterCard kama kwingine au inakuaje? Natakunguliza shukrani