NHIF vipi?

Jamani hawa NHIF wameanza lini kuita oral? mi kwa experience yangu ya zaidi ya miaka mitatu ya interview zao za written huwa hazina oral ni direct unaitwa kufanya kazi baada ya written,kinachosubiriwa kwa sasa ni simu za kuitwa kazini tuu na hakuna hiyo budget ya oral.
 

duu hiyo nayo tamu kama umebatua vizuri ile written
 

hahahahaaaaa,hata kama ile written nilipiga 100% wataniacha mkuu kisa sina kimemo??,ila sikukatalii,hii iliwahi pia kunitokea ktk usaili wa pili wa NSSF mwaka jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…