Omahe Juniour
New Member
- May 31, 2014
- 1
- 0
Kwa yeyote mwenye news za interview ya oral nhif nisadie
vp ushapata dondoo za usaili wa oral ?Kwa yeyote mwenye news za interview ya oral nhif nisadie
asee compliance hata mimi cjaona wadau.cjui ndio bado?? maana hata ile ya kwanza walitoa siku ya pili tofauti na position zingineduuu mbona watu mko kimya sana na hilli swala au hawajatoa nia uongo tu mimi niikingia sionai majina ya compliance
Msaada kwa hili jamani, namba ya mtihani imesahaulika. Naomba majina ya kuitwa nitazame namba.msaada kwa mwenye zile namba za jobapp anisaidie au nimpe jina anichekie ..
Google jina lako complete utaweza iona namba yako exactly....msaada kwa mwenye zile namba za jobapp anisaidie au nimpe jina anichekie ..
Halionekani mkuu, mwenye nayo majina msaada.Google jina lako complete utaweza iona namba yako exactly....
Taja jina nikuangalizie mi ninayoMsaada kwa hili jamani, namba ya mtihani imesahaulika. Naomba majina ya kuitwa nitazame namba.
NI-PM jina lakoHalionekani mkuu, mwenye nayo majina msaada.