Wakuu umofia kwenu, hivi dawa ya kutofanya nguo zisipauke ni nini? Maana natumia maji ambayo yana chumvi kwa mbal, sasa nguo zinapauka sana,,,
Sasa ni nini dawa yake ili zisipauke?
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi
Ili nguo zsipauke.
1.Usitumie maji yenye chumvi ( hard water)
2.Usitumie sabuni nyingi ya unga unapofua hasa kwa nguo zenye kiasi kikubwa cha cotton.
3. Kwa nguo zinazotoa rangi epuka kuziloweka na sabuni kwa mda mrefu. Lakini pia uszifue mara kwa mara
4.Usianike nguo kwenye mwanga na jua kali. Wakati wa joto ni vema ukafua usku ili zilale kwenye kamba na asbh unazitoa.
5. Uszishoshe mara tu baada ya kukauka. Ziweke kwenye begi na uznyooshe baada ya siku 7 au zaidi