Ngome ya CCM ni ipi hasa?

Ngome ya CCM ni ipi hasa?

jay311

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
2,932
Reaction score
2,720
Kama umekuwa mfuatiliaji wa kampeni zilizopita za mwaka 2005 na pia 2010 utagundua kuwa CCM walikuwa na Mikoa au anda ambazo zinajulikana kama 'NGOME' zao. mfano; Dodoma, Tanga n.k Lakini kwa mwaka huu hali tofauti inatokea kuhusu ngome za CCM, kwenye ngome zao hizi watu wengi hawahudhurii tena campaign za CCM kwa hiari na furaha nikimaanisha kuwa asilimia 50+ ya watu huletwa na usafiri mbalimbali uliokodiwa na chama na hii hufanywa mikoa karibu yote Tanzania wakati wa campaign zao hivyo basi inakuwa ni vigumu kujua ni wapi hasa ni ngome yao mwaka huu?
wapi hasa watu wengi zaidi watahudhuria kampeni kwa 'hiari' yao wenyewe?

WAPI HASA NGOME YAO KWA UCHAGUZI HUU?

Nawasilisha!
 
Tuwape pole wakati umefika na kushindana nao ni kupoteza muda wamkumbuke kakobe tu waraka wake
 
Ukiwapa msoto wapiga kura wako huwa hawasahau. Sasa msoto waliokula miaka mitano hii wameamua kushtuka maana wanaona wanalaliwa
 
Ngome yao imebakia Singida, Tabora labda na Lindi
 
Kama umekuwa mfuatiliaji wa kampeni zilizopita za mwaka 2005 na pia 2010 utagundua kuwa ccm walikuwa na mikoa au kanda ambazo zinajulikana kama 'NGOME' zao,mfano Dodoma,Tanga n.k Lakini kwa mwaka huu hali tofauti inatokea kuhusu ngome za ccm, kwenye ngome zao hizi watu wengi hawahudhurii tena campaign za ccm kwa hiari na furaha nikimaanisha kuwa asilimia 50+ ya watu huletwa na usafiri mbalimbali uliokodiwa na chama na hii hufanywa mikoa karibu yote Tanzania wakati wa campaign zao hivyo basi inakuwa ni vigumu kujua ni wapi hasa ni ngome yao mwaka huu?
wapi hasa watu wengi zaidi watahudhuria kampeni kwa 'hiari' yao wenyewe?
WAPI HASA NGOME YAO KWA UCHAGUZI HUU?
nawasilisha!!!

NGOME ya CCM NI KAMA HEWA UNAYOVUTA UKIJUA KUWA HEWA UNAYOVUTA IPO MAHALI POTE BASI NA CCM TUPO MAHALI POTE HATA HAPO ULIPOSIMAMA TUPO HUJATUONA? HEBU GEUKA NA NYUMA TUPOOOOOO MBELE TUPO, KUSHOTO TUPOOOO NA KULIA PIA TUPOOO NA HIYO NDIYO CCM.
 

NGOME ya CCM NI KAMA HEWA UNAYOVUTA UKIJUA KUWA HEWA UNAYOVUTA IPO MAHALI POTE BASI NA CCM TUPO MAHALI POTE HATA HAPO ULIPOSIMAMA TUPO HUJATUONA? HEBU GEUKA NA NYUMA TUPOOOOOO MBELE TUPO, KUSHOTO TUPOOOO NA KULIA PIA TUPOOO NA HIYO NDIYO CCM.

Hahaaaaaaaa! Ur so genius
 
Kama umekuwa mfuatiliaji wa kampeni zilizopita za mwaka 2005 na pia 2010 utagundua kuwa ccm walikuwa na mikoa au kanda ambazo zinajulikana kama 'NGOME' zao,mfano Dodoma,Tanga n.k Lakini kwa mwaka huu hali tofauti inatokea kuhusu ngome za ccm, kwenye ngome zao hizi watu wengi hawahudhurii tena campaign za ccm kwa hiari na furaha nikimaanisha kuwa asilimia 50+ ya watu huletwa na usafiri mbalimbali uliokodiwa na chama na hii hufanywa mikoa karibu yote Tanzania wakati wa campaign zao hivyo basi inakuwa ni vigumu kujua ni wapi hasa ni ngome yao mwaka huu?
wapi hasa watu wengi zaidi watahudhuria kampeni kwa 'hiari' yao wenyewe?
WAPI HASA NGOME YAO KWA UCHAGUZI HUU?
nawasilisha!!!

Mkuu ni kweli kwamba 2015 ni mwaka tofauti na Chaguzi zilizopita CCM walilielewa hilo wamefanya Campaign kubwa kwa Gharama kubwa kuliko Ukawa, CCM wamewafikia wapiga Kura wengi kuliko Ukawa.

Ninachokiona Ukawa hakukua na Maandalizi ya kutosha kwa mfano Mtatiro kapewa nafasi ya kugombea Ubunge Segerea siku 3 kabla ya kuanza Campaign hakuna maandalizi.

John Mnyika alichelewa sana kuanza Campaign kutokana na msuguano wa kumpokea Lowasa

Halima nae kazi ni Pevu.

CCM mwaka huu hawana migogoro ya kukatwa ngazi ya Ubunge wako vizuri,

Usaliti si mkubwa kulinganisha na 2010, Kujibu Swali lako Tanzania yote ni Ngome ya CCM tuongee 27/10/2015
 

NGOME ya CCM NI KAMA HEWA UNAYOVUTA UKIJUA KUWA HEWA UNAYOVUTA IPO MAHALI POTE BASI NA CCM TUPO MAHALI POTE HATA HAPO ULIPOSIMAMA TUPO HUJATUONA? HEBU GEUKA NA NYUMA TUPOOOOOO MBELE TUPO, KUSHOTO TUPOOOO NA KULIA PIA TUPOOO NA HIYO NDIYO CCM.

lakin mbona hapa mim na familia yangu tupo kwnye chama kingine cha siasa? hujakosea popote kweli?
 
ngome ya ccm iko mpaka kitandani unakolala na mkeo
 
Kama umekuwa mfuatiliaji wa kampeni zilizopita za mwaka 2005 na pia 2010 utagundua kuwa CCM walikuwa na Mikoa au anda ambazo zinajulikana kama 'NGOME' zao. mfano; Dodoma, Tanga n.k Lakini kwa mwaka huu hali tofauti inatokea kuhusu ngome za CCM, kwenye ngome zao hizi watu wengi hawahudhurii tena campaign za CCM kwa hiari na furaha nikimaanisha kuwa asilimia 50+ ya watu huletwa na usafiri mbalimbali uliokodiwa na chama na hii hufanywa mikoa karibu yote Tanzania wakati wa campaign zao hivyo basi inakuwa ni vigumu kujua ni wapi hasa ni ngome yao mwaka huu?
wapi hasa watu wengi zaidi watahudhuria kampeni kwa 'hiari' yao wenyewe?

WAPI HASA NGOME YAO KWA UCHAGUZI HUU?

Nawasilisha!

Ngome ya ccm ipo kila sehemu kwa taarifa yako halafu huo mkumbo muda si mrefu unakwenda kupotea
 
Back
Top Bottom