Ng'ombe wanahitajika

Marcel_10

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
396
Reaction score
171
Habari wakuu ,natumahi ni wazima wa afya . Kuna ndugu yangu kanipatia tenda ya kutafuta ng'ombe ,ambao wakikaa ndani ya miezi 6 au 12 wanaweza anza kuzaa .Anataka afanye mradi wa ufugaji .Lakini pia je ni mkoa gani ambao naweza kupata ng'ombe kwa gharama nafuu. maana bado anamtaji mdogo. KARIBUNI TUSHIRIKISHANE
 
mang'ombe yamejaa pale lumumba jaribu kupitapita....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…