Ngereza: Hata Mo atoe 500million Simba ni mbovu

Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._

#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish

#Tv3Tanzania #GameOn

View attachment 2954294
Mkuu Labani og , huyo MCHAMBUZI MAHILI, MKWELI, amelichambua lile GOLI TULILOZULUMIWA. Umemsikia/umemsomaaa?
 
Mkuu Labani og , huyo MCHAMBUZI MAHILI, MKWELI, amelichambua lile GOLI TULILOZULUMIWA. Umemsikia/umemsomaaa?
Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.

Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili

1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji

Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.

Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.

Nawasilisha
 
Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._
Wachezaji watatu wa Yanga waliokosa penati:
  1. Aziz Ki
  2. Dickson Job
  3. Ibrahim Baka
 
Back
Top Bottom