NgerezaUnatuuzunisha sana watanzania wenzako
Mkuu Labani og , huyo MCHAMBUZI MAHILI, MKWELI, amelichambua lile GOLI TULILOZULUMIWA. Umemsikia/umemsomaaa?Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish
#Tv3Tanzania #GameOn
View attachment 2954294
Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.Mkuu Labani og , huyo MCHAMBUZI MAHILI, MKWELI, amelichambua lile GOLI TULILOZULUMIWA. Umemsikia/umemsomaaa?
Wachezaji watatu wa Yanga waliokosa penati:Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._