John Malanilo
Member
- Dec 2, 2013
- 50
- 13
teh teh teh, kwi kwi kwi, ahahahahahaha, Kamnda Malanilo umevunja sana mbavu zangu, hayo ndo maendeleo ya CHADEMA mnayojivunia nayo?
hahahahaha, kuwa na aibu kidogo bas Kamanda
Hahahahahaha, hayo ndo umejipanga wewe na Mdogo wako Dk Bujali kuombea kura kwa wanangara 2015?mbona weak points tuuu?
Ngoma ya wanangara wewe na mdogo wako Dk Bujali hamuiwezi, hiyo Ngoma muachieni Dk Sebuyoya aicheze
Huyo Sebuyoya ni Mtanzania kweli?teh teh teh, kwi kwi kwi, ahahahahahaha, Kamnda Malanilo umevunja sana mbavu zangu, hayo ndo maendeleo ya CHADEMA mnayojivunia nayo?
hahahahaha, kuwa na aibu kidogo bas Kamanda
Hahahahahaha, hayo ndo umejipanga wewe na Mdogo wako Dk Bujali kuombea kura kwa wanangara 2015?mbona weak points tuuu?
Ngoma ya wanangara wewe na mdogo wako Dk Bujali hamuiwezi, hiyo Ngoma muachieni Dk Sebuyoya aicheze