Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Jeshi la Israel limefanikiwa kumuuwa Kamanda Mkuu wa Kikosi Maalumu cha Urushaji Maroketi cha Wanamgambo wa Hamas Samah Abed - al- Mamlouk
Kamanda huyo ameuawa pamoja na Makamanda Waandamizi wawili baada ya mashambulizi makali ya Ndege za Kivita za Israel kujibu mapigo kufuatia mashambulizi ya roketi kutoka kwa Wanamgambo wa Hamas waliopo Gaza
Msemaji wa IDF Luteni Kanali Jonathan Conricus amesema wataendelea kufanya mashambulizi dhidi ya Hamas ili kuwaadhibu kwa uvamizi wao
Wanamgambo wa Hamas wamethibitisha kuuawa kwa Viongozi wao
BBC
Kamanda huyo ameuawa pamoja na Makamanda Waandamizi wawili baada ya mashambulizi makali ya Ndege za Kivita za Israel kujibu mapigo kufuatia mashambulizi ya roketi kutoka kwa Wanamgambo wa Hamas waliopo Gaza
Msemaji wa IDF Luteni Kanali Jonathan Conricus amesema wataendelea kufanya mashambulizi dhidi ya Hamas ili kuwaadhibu kwa uvamizi wao
Wanamgambo wa Hamas wamethibitisha kuuawa kwa Viongozi wao
BBC