Wanajanv,nilikua napitia blog mbalimbali za kupendezesha magar nikakuta kuna majamaa wao unapeleka gari af wanafanya modification ya shoo yoyote ya gari utakayoitaka wanakutengenezea ktk gari ako,mfano niliona toyota gx 100 imewekewa aud q7 style,je kwa bongo wapi wanaweza kufanya ivo???