Idadi ya Polisi + JESHI is roughly 161,000 hv nchi nzima... so hata wakiiba hiyo, CCM hawatatoka mwaka huu...ila hilo ni ngumu sana sanaaaa...
Ktk majeshi kuna wana vyama wa vyama mbali mbali, most are UKAWA... so sio rahisi kabisa...uwizi wa hivyo sio rahisi...