Never give up...

Never give up...

Majighu2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
2,941
Reaction score
3,963
e8cb1b11fadce79f34965d55b692d99d.jpg


Unatakiwa umshukuru Mungu kwa maisha uliyonayo. Kuna wanaolalamika hawana kazi lakini wapo nyumbani wana uhakika wa kula na kulala. Kuna ambao wana hela mpaka wanaenda kuzitupa kwa michepuko. Kuna ambao wanataka wajiue eti kwa sababu ya mapenzi,kutengwa na mambo mengine.

Ona huyu kijana hapa pamoja na maisha kuwa magumu lakini hajakata tamaa anaamini Mungu yupo pamoja nae na kuna siku maisha yatakaa vizuri. Tumshukuru Mungu kwa hicho kidogo alichotupa na tuamini mambo mazuri yanakuja.

NEVER GIVE UP FRIEND
 
e8cb1b11fadce79f34965d55b692d99d.jpg


Unatakiwa umshukuru Mungu kwa maisha uliyonayo. Kuna wanaolalamika hawana kazi lakini wapo nyumbani wana uhakika wa kula na kulala. Kuna ambao wana hela mpaka wanaenda kuzitupa kwa michepuko. Kuna ambao wanataka wajiue eti kwa sababu ya mapenzi,kutengwa na mambo mengine.

Ona huyu kijana hapa pamoja na maisha kuwa magumu lakini hajakata tamaa anaamini Mungu yupo pamoja nae na kuna siku maisha yatakaa vizuri. Tumshukuru Mungu kwa hicho kidogo alichotupa na tuamini mambo mazuri yanakuja.

NEVER GIVE UP FRIEND
Mkuu huyo akiingia kwenye meli anaiteka bila wasiwasi kabisa huyo baunsa mbona!!
 
Back
Top Bottom