kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,064
- 18,053
NETANYAHU AIONYA MAREKANI NA ISRAEL
Aliyekuwa Waziri mkuu wa zamani wa Israel Benjamin Netanyahu amezionya Marekani na Israel kuhusiana na mpango wake wa kuishambulia Iran.
Netanyahu amesema kwamba, kuishambulia Iran na ikakosekana lengo la shambulio hilo na kuiacha Iran bila kuangamiza kituo chochote cha nyuklia hama kambi za jeshi ni sawa na kuichimbia kaburi Israel. #israel_radar
Aliyekuwa Waziri mkuu wa zamani wa Israel Benjamin Netanyahu amezionya Marekani na Israel kuhusiana na mpango wake wa kuishambulia Iran.
Netanyahu amesema kwamba, kuishambulia Iran na ikakosekana lengo la shambulio hilo na kuiacha Iran bila kuangamiza kituo chochote cha nyuklia hama kambi za jeshi ni sawa na kuichimbia kaburi Israel. #israel_radar