mirymicaiah605
Senior Member
- Apr 6, 2014
- 107
- 17
Ukitaka kujua Uzuri wa Mbinguni waulize MALAIKA....Ukitaka kujua ukali wa moto wa Jehanum muulize SHETANI ila KAMWE USITHUBUTU kuwauliza Wanandoa kuhusu "Habari za Ndoani" Watakwambia Siasa Tupu...Very few talk the truth kuhusu Maisha ya Ndoa ila Wengi ukiwauliza
"Jamani Nioe huko hali ikoje" utawasikia wanakupa majibu Mepesi kama Wabunge wa UKAWA,"aah huku raha bwana,huoni nlivyonenepa,cheki kitambi nang'aa nikirudi nakuta chakula tayari,nalala uchi namega unyumba nnapojisikia"
THUBUTUU!!
Wanakutajia vitu very obvious..Kwani siwezi kulala uchi ghetto kwangu??Siwezi kunenepa mwenyewe nikiamua?HALI HALISI HAWAKWAMBII Hawatakwambia Wiki ya 2 hii "mke kagoma kukanyaga klachi" gia hazipandi unyumba nehi...Hawatakwambia jinsi Mawifi wanavyozingua kisa mwaka wa 2 huu hawajaona mtoto wala dalili za kaka yao kutumwa Udongo...Hawatakwambia
Sleepless nites za magomvi ya meseji walizofuma toka kwa Ma-Ex..Hawatokwambia kwamba Mkewe wala hajisikii tendo la ndoa kama Wiki za mwanzo ila anampa basi tu kutimiza mradi...WALA HAWAKWAMBII Wao ni Ooh huku kutamu sana yaani Bajeti siku hizi anasimamia mke wangu..
WALIOOA/KUOLEWA usiwasikilize sana,wanakusukuma kitonga ukitiririka tu wao wanakucheki,mwisho wa siku wanataka tu uzame ili wote muanze kulia Chorus inayofanana..Yaani wanandoa kama kwaya kuu vile..Wote mnaimba Sauti ya Juu...Mi nawamegea maana nakaa nao..wananiuliza maswali halafu baadae wanajisahau wananisifia,"Bora wewe kaka bado hujaoa aisee Dah"
Ukiingia INGIA TU ila sio kwa sababu Sam kakushauri,hatokwambia yote!
"Jamani Nioe huko hali ikoje" utawasikia wanakupa majibu Mepesi kama Wabunge wa UKAWA,"aah huku raha bwana,huoni nlivyonenepa,cheki kitambi nang'aa nikirudi nakuta chakula tayari,nalala uchi namega unyumba nnapojisikia"
THUBUTUU!!
Wanakutajia vitu very obvious..Kwani siwezi kulala uchi ghetto kwangu??Siwezi kunenepa mwenyewe nikiamua?HALI HALISI HAWAKWAMBII Hawatakwambia Wiki ya 2 hii "mke kagoma kukanyaga klachi" gia hazipandi unyumba nehi...Hawatakwambia jinsi Mawifi wanavyozingua kisa mwaka wa 2 huu hawajaona mtoto wala dalili za kaka yao kutumwa Udongo...Hawatakwambia
Sleepless nites za magomvi ya meseji walizofuma toka kwa Ma-Ex..Hawatokwambia kwamba Mkewe wala hajisikii tendo la ndoa kama Wiki za mwanzo ila anampa basi tu kutimiza mradi...WALA HAWAKWAMBII Wao ni Ooh huku kutamu sana yaani Bajeti siku hizi anasimamia mke wangu..
WALIOOA/KUOLEWA usiwasikilize sana,wanakusukuma kitonga ukitiririka tu wao wanakucheki,mwisho wa siku wanataka tu uzame ili wote muanze kulia Chorus inayofanana..Yaani wanandoa kama kwaya kuu vile..Wote mnaimba Sauti ya Juu...Mi nawamegea maana nakaa nao..wananiuliza maswali halafu baadae wanajisahau wananisifia,"Bora wewe kaka bado hujaoa aisee Dah"
Ukiingia INGIA TU ila sio kwa sababu Sam kakushauri,hatokwambia yote!