Ubarikiwe kwa mwaliko wako kwenye ufalme wa Mungu lakini naona kwenye suala la lugha uko shalo sana kajifunze lugha ujue kutofautisha kati ya "si" na "thi", "zi" na "dhi"
Dhambi sio,zambi na urithi,sio urisi.
Ni hayo tu otherwise ujumbe wako nimeupokea vizuri