Kuna mahali nilikuwa naongea na vijana,wanasema hali ya mwaka 2020 bado haijawatoka vichwani mwao wanaona kupiga kura ni kupoteza muda wao,mchakato wa kuoata wagobea wenyewe ndani ya vyama haukua wa kidemcrasia ,wanachama wanampitisha X uongozi unamuweka Y kugombe.Pia zile tuhuma za wizi wa kura. Labda kupata vitambulisho kwa ajili ya dhamana maana wanakamatwa kamatwa na polisi wanaulizwagqa vitambuliaho ili kutolea dhamana.
My take.Elimu ya uraia uongezwe nguvu.