Hellow?
Nakushauri usome procurement and logistic management then ufanye paper zake za bodi unaweza kuwa na wigo mkubwa wa kufanya kazi sehemu nyingi na hata kujiajiri kama procurement consultant.tofauti na hiyo kozi ya risk ambayo najua inatolewa ifm kwa hapa bongo hiyo kozi ni nzuri tena sana lakini tatizo ni limited katika sehemu za kufanya kazi.Its my view challenges are accepted.all the best