abdulrahim
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 408
- 286

Sarakasi hizi za kiutendaji...uliona wapi malalamiko yako yapitie kwa mlalamikiwa...Necta ni independent organ inabidi uhudumie mteja according to matakwa yake na si hivyo umnavyofanya...
Hii ni harufu ya kufunika jambo..
Hili bandiko limenishtua saana kwakweli..
Mnyonge mnyongeni ila Kamba yake mpeni!!