Ndugu zangu natafuta kazi

Ndugu zangu natafuta kazi

A_Girl_Child

Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
39
Reaction score
77
Habari ya muda huu wakuu,

Niko mbele yenu muda huu kuomba msaada wa kupata kazi yoyote halali.

Nina shahada ya uuguzi( BSc Nursing) nina uzoefu wa kufanya kazi wodini na kwenye miradi hivyo mwenye connection na kazi yoyote ya taaluma yangu au isiyo ya taaluma yangu namuomba sana anisaidie. Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote.

Kuhusu kutafta kazi nimetafuta na bado naendelea kutafuta sehemu mbali mbali ila bado sijafanikiwa.

Nisaidieni nakaribia kudhalilika sasa Dah

Asanteni.
 
Habari ya muda huu wakuu,

Niko mbele yenu muda huu kuomba msaada wa kupata kazi yoyote halali.

Nina shahada ya uuguzi( BSc Nursing) nina uzoefu wa kufanya kazi wodini na kwenye miradi hivyo mwenye connection na kazi yoyote ya taaluma yangu au isiyo ya taaluma yangu namuomba sana anisaidie. Nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote.

Kuhusu kutafta kazi nimetafuta na bado naendelea kutafuta sehemu mbali mbali ila bado sijafanikiwa.

Nisaidieni nakaribia kudhalilika sasa Dah

Asanteni.
Tangazo! Ombi! MAELEZO HAYAJAKAMILIKA.

wewe nani
Unaishi wapi
Una Umri gani

Nadhani hiyo ingesaidia watu kukujua kwa kifupi. !!
 
Hajulikani kama ni wa kike au wa kiume,
Kiufupi hayupo makini.
 
Back
Top Bottom