Tetesi: Ndugu yetu Hasheem Thabeet anarejea NBA

Kwa uandishi wako unajielezea pasipo maelezo kuwa wewe ni mfuatiliaji mzuri wa huu mchezo. Unajua wazi hali ilivyo hasa kwa rookies in their first years, timu huwa haziwatumii sana kutokana na ugeni wao katika league. Kuna wachezaji with very high draft picks katika timu zao kutokana na namna timu ilivyojengeka huwachukua zaidi ya msimu uwezo wao kuweza kuonekana na kuna wengine kutokana na timu zao zilivyojengwa basi hupata nafasi mapema.

Ujio wa wachezaji Kama akina Steph Curry, ulisababisha mapinduzi katika staili ya uchezaji ambapo game ilibadilika na mkazo kuwekwa kwenye shooting zaidi kuliko traditional basketball tuliyoizoea. Katika Era hii mpya, kila mchezaji licha ya nafasi anayocheza ilimlazimu kuwa na uwezo wa kushoot. Unaona wazi game ilianza kubadilika Center hawakuwa wakikaa ndani ya D, bali walikuwa wanatafuta spots behind the Arc, hali hii ilitengeneza mazingira magumu kwa wachezaji wa dizaini ya akina Hasheem ambao wao shooting haikuwa silaha kwao. Hapa unakutana na Centers kama akina Joel Embiid, KAT, Jokic na wengine, hawa ndo wanapata nafasi the rest kama akina Bismark Biyombo hawa nafasi zao ni finyu na wanapata muda mchache sana kucheza kutokana na sababu kama hizo.

I agree, mchezo umebadilika sana ingekuwa zaman ingekuwa vigumu mno kwa mtu kama Curry kuwa mvp, kinachoniumaga ni kwamba Hasheem yupo na physic kama ya kina KD, Bosh na the likes mbona kina KD wanaupiga mwingi sana, unajua mwingi mpaka unashangaa.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alicheza dakika ngapi? Maana NBA nako unaweza kusajiliwa timu ukawa benchwarmer muda mrefu sana. Unasubiri mtu aumie, uwe kiraka, na mtu haumii.

Ni siku mingi sana 2011 kama sikosei ila nakumbuka ilikuwa game mbil ndio alicheza mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ujio wa wachezaji Kama akina Steph Curry, ulisababisha mapinduzi katika staili ya uchezaji ambapo game ilibadilika na mkazo kuwekwa kwenye shooting zaidi kuliko traditional basketball tuliyoizoea. Katika Era hii mpya, kila mchezaji licha ya nafasi anayocheza ilimlazimu kuwa na uwezo wa kushoot. Unaona wazi game ilianza kubadilika Center hawakuwa wakikaa ndani ya D, bali walikuwa wanatafuta spots behind the Arc, hali hii ilitengeneza mazingira magumu kwa wachezaji wa dizaini ya akina Hasheem ambao wao shooting haikuwa silaha kwao. Hapa unakutana na Centers kama akina Joel Embiid, KAT, Jokic na wengine, hawa ndo wanapata nafasi the rest kama akina Bismark Biyombo hawa nafasi zao ni finyu na wanapata muda mchache sana kucheza kutokana na sababu kama hizo.
Wanaoijua game watakuelewa sana.
Siku hizi si zama za Shaq, Rashid Wallace, Yao n.k. Watu wanafanya yao nje ya arc. Center anatakiwa azuie lakini pia awe na uwezo wa ku-shoot kutoka popote si kuchutama chini ya ring.

Sifa moja ya Kobe ni uwezo wa ku-shoot akiwa ndani, nje ya arch au ku-attack ring kutokea popote. Uwezo huo anao KD, Curry, Westbrook, Haden, Kahwi na Anto. n.k.

Wachezaji wanabadilika sana si zama za Shaq kusubiri chini, siku hizi mchezaji anatimia idara zote. Kinyume cha hapo mchezaji atabaki kugawa maji katika bench halafu kupotezewa
 
I agree, mchezo umebadilika sana ingekuwa zaman ingekuwa vigumu mno kwa mtu kama Curry kuwa mvp, kinachoniumaga ni kwamba Hasheem yupo na physic kama ya kina KD, Bosh na the likes mbona kina KD wanaupiga mwingi sana, unajua mwingi mpaka unashangaa.....


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hapo kuna Basic na Extra skills. Ndugu yetu nathubutu kusema alikuwa na Basic Skills ambazo kila mchezaji kwa nafasi yake anayocheza alikuwa nazo. Saizi tunahitaji mtu mwenye both basic and extra skills. Watu kama akina KD, Giannis, Jokic licha ya kuwa na miili ya aina Ile, ila unaweza ukawachezesha kama Point Guards na bado ukapata matokeo unayoyataka.
 
Wanaoijua game watakuelewa sana.
Siku hizi si zama za Shaq, Rashid Wallace, Yao n.k. Watu wanafanya yao nje ya arc. Center anatakiwa azuie lakini pia awe na uwezo wa ku-shoot kutoka popote si kuchutama chini ya ring.

Sifa moja ya Kobe ni uwezo wa ku-shoot akiwa ndani, nje ya arch au ku-attack ring kutokea popote. Uwezo huo anao KD, Curry, Westbrook, Haden, Kahwi na Anto. n.k.

Wachezaji wanabadilika sana si zama za Shaq kusubiri chini, siku hizi mchezaji anatimia idara zote. Kinyume cha hapo mchezaji atabaki kugawa maji katika bench halafu kupotezewa
Umenena vyema mkuu.
 
Wanaoijua game watakuelewa sana.
Siku hizi si zama za Shaq, Rashid Wallace, Yao n.k. Watu wanafanya yao nje ya arc. Center anatakiwa azuie lakini pia awe na uwezo wa ku-shoot kutoka popote si kuchutama chini ya ring.

Sifa moja ya Kobe ni uwezo wa ku-shoot akiwa ndani, nje ya arch au ku-attack ring kutokea popote. Uwezo huo anao KD, Curry, Westbrook, Haden, Kahwi na Anto. n.k.

Wachezaji wanabadilika sana si zama za Shaq kusubiri chini, siku hizi mchezaji anatimia idara zote. Kinyume cha hapo mchezaji atabaki kugawa maji katika bench halafu kupotezewa
Siku hizi wanawafundisha hivyo tangu watoto wa miaka 7 naona nikienda kwenye mazoezi yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna Basic na Extra skills. Ndugu yetu nathubutu kusema alikuwa na Basic Skills ambazo kila mchezaji kwa nafasi yake anayocheza alikuwa nazo. Saizi tunahitaji mtu mwenye both basic and extra skills. Watu kama akina KD, Giannis, Jokic licha ya kuwa na miili ya aina Ile, ila unaweza ukawachezesha kama Point Guards na bado ukapata matokeo unayoyataka.

Yaaah this is very true, ndugu yetu ndio ivyo yan, kawaida sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Maana yake anakwenda kufanya majaribio na Bucks ila akikidhi mategemeo atachukuliwa alishindwa ataendelea na maisha yake. Tatizo linakuja hapa, Hasheem ni Bigman na sifa yake ni kuchukua rebounds na kupost. Mahitaji ya sasa ya NBA yanataka Bigmen wanaoweza ku shoot ndani na nje ya 'D'. Je Hasheem anaweza ku shoot 3 points? au hata ndani ya D? Yote haya yatajulikana next week kwenye hiyo workout.

Ila kwa matokeo yeyote Hasheem hakuitendea vizuri fursa aliyopata kuwa second pick ya mwaka 2009. Laiti angekuwa msikivu basi leo Tanzania ingekuwa ni mlango wa vijana kwenda NBA. Kiburi, dharau na kutoshaurika ndiyo kilichomharibu bila kusahau fedha nyingi za ghafla aliyopata baada ya mkataba wa kwanza na Memphis
Tarehe 16/ 08/ 19 niliandika hivyo hapo juu wakati Hasheem Thabeet na Carmelo Anthony wanapenda kwenye workout Knicks na Bucks.

Rudia kusoma
 
Kwa uandishi wako unajielezea pasipo maelezo kuwa wewe ni mfuatiliaji mzuri wa huu mchezo. Unajua wazi hali ilivyo hasa kwa rookies in their first years, timu huwa haziwatumii sana kutokana na ugeni wao katika league. Kuna wachezaji with very high draft picks katika timu zao kutokana na namna timu ilivyojengeka huwachukua zaidi ya msimu uwezo wao kuweza kuonekana na kuna wengine kutokana na timu zao zilivyojengwa basi hupata nafasi mapema.

Ujio wa wachezaji Kama akina Steph Curry, ulisababisha mapinduzi katika staili ya uchezaji ambapo game ilibadilika na mkazo kuwekwa kwenye shooting zaidi kuliko traditional basketball tuliyoizoea. Katika Era hii mpya, kila mchezaji licha ya nafasi anayocheza ilimlazimu kuwa na uwezo wa kushoot. Unaona wazi game ilianza kubadilika Center hawakuwa wakikaa ndani ya D, bali walikuwa wanatafuta spots behind the Arc, hali hii ilitengeneza mazingira magumu kwa wachezaji wa dizaini ya akina Hasheem ambao wao shooting haikuwa silaha kwao. Hapa unakutana na Centers kama akina Joel Embiid, KAT, Jokic na wengine, hawa ndo wanapata nafasi the rest kama akina Bismark Biyombo hawa nafasi zao ni finyu na wanapata muda mchache sana kucheza kutokana na sababu kama hizo.

kitu kilikuwa kinanikasirisha kuliko vyote ni kwamba Rajon Rondo na Yesaya Thomas wana stats kubwa kuliko Hasheem roho ilikuwa inauma kweli daaah noma kaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kitu kilikuwa kinanikasirisha kuliko vyote ni kwamba Rajon Rondo na Yesaya Thomas wana stats kubwa kuliko Hasheem roho ilikuwa inauma kweli daaah noma kaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
Haha ! Rajon Rondo alikuwa moto sana wakati wake. Ni watu waliofanya NBA iwe na msisimko kutokana na majonjo yake uwanjani. Naye kwa sasa kutokana na aina ya uchezaji wake as a Traditional Point Guard ambao kwa wakati ule walikuwa na jukumu moja tu la kuchezesha timu, amejikuta akizungumza timu kadhaa na hata kutokuwa chagua la kwanza kutokana na mapinduzi katka game yaliyoketwa na akina Steph Curry.


Isaiah Thomas, licha ya uandunje wake katika ligi, alikuwa na mambo kadha wa kadha aliyokusudia kuionesha dunia na bahati nzuri alifanikiwa kuyaonesha, japo majeraha yamemrudisha nyuma kwa sasa.

Hapa tunapata funzo kwamba, kimo chako kitakufungulia milango ya fursa, Ila what you bring at the table is what will build your legacy, something our fellow Tanzanian failed to deliver.
 
Haha ! Rajon Rondo alikuwa moto sana wakati wake. Ni watu waliofanya NBA iwe na msisimko kutokana na majonjo yake uwanjani. Naye kwa sasa kutokana na aina ya uchezaji wake as a Traditional Point Guard ambao kwa wakati ule walikuwa na jukumu moja tu la kuchezesha timu, amejikuta akizungumza timu kadhaa na hata kutokuwa chagua la kwanza kutokana na mapinduzi katka game yaliyoketwa na akina Steph Curry.


Isaiah Thomas, licha ya uandunje wake katika ligi, alikuwa na mambo kadha wa kadha aliyokusudia kuionesha dunia na bahati nzuri alifanikiwa kuyaonesha, japo majeraha yamemrudisha nyuma kwa sasa.

Hapa tunapata funzo kwamba, kimo chako kitakufungulia milango ya fursa, Ila what you bring at the table is what will build your legacy, something our fellow Tanzanian failed to deliver.

Isaya nikimwangaliaga na zile injury namwonea huruma ila at least wao wamedumu kwenye game na walikuwa wanapafomu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Isaya nikimwangaliaga na zile injury namwonea huruma ila at least wao wamedumu kwenye game na walikuwa wanapafomu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sema andunje mdomo nae unaigharimu Career yake. Tangu aondoke Boston hajawahi kukubaliana na hali kwamba timu aliyoitolea sadaka haikuwa na shukrani kwake ikaamua kumuuza, hivyo a-move on. Amekuwa akiishi kwenye mafanikio aliyoyapata kabla ya kuumia na hicho ndio kinapelekea kuwa msafiri saizi from Boston to Cleveland, from Cleveland to Lakers, from Lakers to Utah, from Utah to Washington.

Angeiga mfano wa akina Kawhi ambaye licha ya kadhia alizozipata kutokana na majeraha aliweza kurudi imara na hata kuiongiza timu yake kuchukua Ubingwa.
 
Angeiga mfano wa akina Kawhi ambaye licha ya kadhia alizozipata kutokana na majeraha aliweza kurudi imara na hata kuiongiza timu yake kuchukua Ubingwa.
Kawhi ana sifa tunazoongelea. Kwanza, ana umbo kubwa linalomasaidia katika kulinda. Pili, ana uwezo wa kuchezesha kama point guard. Tatu anapiga field goal iwe 2 au 3. Nne, ana shoot hivyo ukimfanyia foul unaumia tu.

Ukitaka kuona wachezaji waliobadili NBA mfano ni Lebron. Naye ni kama Kawhi kwa umbo na sifa za kuhodhi mpira au kuchezesha wenzake, anachukua rebounds na ana shoot vizuri sana.

Lakini maumbo si lazima yawe makubwa. Mtazame Curry, ana umbo dogo. Kinachomsaidia ni uwezo wa ku score akiwa nje, ndani ya ring au free throw. Curry anachezesha timu ni ngumu kujua kama anatoa pasi au anafunga mwenyewe.

Mfano wa Curry ni Lowry wa Raptor au Westbrook. Maumbo si makubwa lakini wanadungua kutoka popote halafu anaweza ku attack ring wakati huo huo wanalinda.

Russel Westbrook watu wana mu-over rate, si point guard kihivyo hata sasa anasafiri nyota ya Haden.Huyu alikuwa na KD, OKCna mara zote walishindwa kuchukua Ubingwa.

Kiranga watu wanausoma mchezo na wamebaini NBA si urefu wa akina Yao au Tim Duncan
Utaona wachezaji kama Pascal Siakam sasa wanatumia field goal badala ya kuvamia ring.
 
Kawhi ana sifa tunazoongelea. Kwanza, ana umbo kubwa linalomasaidia katika kulinda. Pili, ana uwezo wa kuchezesha kama point guard. Tatu anapiga field goal iwe 2 au 3. Nne, ana shoot hivyo ukimfanyia foul unaumia tu.

Ukitaka kuona wachezaji waliobadili NBA mfano ni Lebron. Naye ni kama Kawhi kwa umbo na sifa za kuhodhi mpira au kuchezesha wenzake, anachukua rebounds na ana shoot vizuri sana.

Lakini maumbo si lazima yawe makubwa. Mtazame Curry, ana umbo dogo. Kinachomsaidia ni uwezo wa ku score akiwa nje, ndani ya ring au free throw. Curry anachezesha timu ni ngumu kujua kama anatoa pasi au anafunga mwenyewe.

Mfano wa Curry ni Lowry wa Raptor au Westbrook. Maumbo si makubwa lakini wanadungua kutoka popote halafu anaweza ku attack ring wakati huo huo wanalinda.

Russel Westbrook watu wana mu-over rate, si point guard kihivyo hata sasa anasafiri nyota ya Haden.Huyu alikuwa na KD, OKCna mara zote walishindwa kuchukua Ubingwa.

Kiranga watu wanausoma mchezo na wamebaini NBA si urefu wa akina Yao au Tim Duncan
Utaona wachezaji kama Pascal Siakam sasa wanatumia field goal badala ya kuvamia ring.
Ni kweli kabisa mkuu. Nilipotoa huo mfano wa Kawhi, nilikuwa nazungumzia kesi ya andunje Isaiah Thomas, ambaye tangu aumie akiwa Boston Celtics na kuuzwa na timu yake ni kama vile ameshindwa kuukubali ukweli na ku-move on, ameshindwa kutambua muda unaenda hivyo ajipange upya na aweze rejea kwa namna nyingine. Badala yake amekuwa ni muongeaji sana kuliko mtendaji, amekuwa akiishi kwenye mafanikio aliyoyapata kabla ya majeraha na kusahau kuishi wakati aliopo, hali inayofanya awe anabadili tu timu kila msimu, kutoka Boston kwenda Cleveland, Cleveland kwenda Lakers, kutoka Lakers kwenda Utah na Utah mpaka sasa Washington.

Kawhi aliweza baada ya kupata majeraha na kutocheza karibia msimu mzima alijipanga vizuri, ndipo baada ya kurudi aliiiongoza timu yake ya Toronto kwa wakati huo kuchukua Ubingwa pasipo kuwa muongeaji zaidi ya mtendaji na kutoishi kwenye mafanikio yake ya nyuma.
 
Sema andunje mdomo nae unaigharimu Career yake. Tangu aondoke Boston hajawahi kukubaliana na hali kwamba timu aliyoitolea sadaka haikuwa na shukrani kwake ikaamua kumuuza, hivyo a-move on. Amekuwa akiishi kwenye mafanikio aliyoyapata kabla ya kuumia na hicho ndio kinapelekea kuwa msafiri saizi from Boston to Cleveland, from Cleveland to Lakers, from Lakers to Utah, from Utah to Washington.

Angeiga mfano wa akina Kawhi ambaye licha ya kadhia alizozipata kutokana na majeraha aliweza kurudi imara na hata kuiongiza timu yake kuchukua Ubingwa.

Kanaongea sana kajamaa kanagombana hadi na mamamba kama kina Rebron alafu hadi vitoto vyake vinamdomo kwene media me nliangaliaga documentary yake fulan ivi yan daah toka aondoke celtics alikasirika na akawa anatema shyt sasa mambo ya mpira hayapo ivyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hasheem ni kama jamaa fulani somebody Nditi ( alikuwa Chelsea ) ana vijitabia fulani vya kiswahili, basi kazi yake ikawa ni kuvimba tu, kujiona ushamaliza.

Ubitozi na Starehe huku ukiendekeza ustar njaa ukirudi bongo. Ukipigwa chini ndio basi tena
 
Back
Top Bottom