Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Kwa hiyo Kajala na mwanaye wanagundu ndiyo maana hapati ubalozi tena?Yap mademu wanagundu sana. Hata wasanii wanatafuta kiki kipumbavu mwishowe wanaanza kukosa makampuni yakuwatumia. Mfano konde boy alipohama WCB alianza kupata matangazo mengi, mdamfupi akavimba na kuanza kutembea na malaya wa mjini mtokeo yake makampuni hayaongezi mkataba nae. Mbunye ni shida mzee