Ndugu kua wapenzi/mchepuko

Ndugu kua wapenzi/mchepuko

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
751
Reaction score
657
Habari..... ngoja tupeane experience kwa wale waliowah kua Na wapenzi ambao mna usiano wa kindugu.either binamu..mtoto wa ba mdogo au mama mdogo ... whatever but muwe ni ndugu.je mliachanaje Na mahusiano yalikuaje...

For me nishawala binamu wawili miaka ya teen-ager Io but ilikua tamu sana mana wote tunakaa nyumb Moja so hakuna purukushan ni kuomb watu walale mkutane
 
Dhambi kwa evidence gan...Mana kuna baadh ya kabila watu wanaoana binamu.

Dhambi labda kwa ndugu wa damu hata mtoto wa mama mdogo sio dhambi
Inbreeding is the production of offspring from the mating or breeding of individuals or organisms that are closely related genetically. By analogy, the term is used in human reproduction, but more commonly refers to the genetic disorders and other consequences that may arise from expression of deleterious recessive traits resulting from incestuous sexual relationships and consanguinity.

Inbreeding results in homozygosity, which can increase the chances of offspring being affected by recessive or deleterious traits. This usually leads to at least temporarily decreased biological fitness of a population (called inbreeding depression), which is its ability to survive and reproduce. An individual who inherits such deleterious traits is colloquially referred to as inbred. The avoidance of expression of such deleterious recessive alleles caused by inbreeding, via inbreeding avoidance mechanisms, is the main selective reason for outcrossing.Crossbreeding between populations also often has positive effects on fitness-related traits, but also sometimes leads to negative effects known as outbreeding depression.
 
Nilishamtoa-ga nduki mtoto wa shangazi kwa mambo ya kijinga kama hayo, mwaka mmoja tu mbeleni nakuja kujua kumbe ni mwathika wa ukimwi
Mshukuru sana Mungu kukuepusha na kifo ......

Ilikuaje aje ni kwamba alikuwa anajilengesha ama?
 
Dhambi kwa evidence gan...Mana kuna baadh ya kabila watu wanaoana binamu.

Dhambi labda kwa ndugu wa damu hata mtoto wa mama mdogo sio dhambi
Dhambi anaihukumu Mungu, je Mungu anahitaji evidence yoyote toka kwako au shahidi!?
Mtoto wa mama mdogo sio dhambi? Mkuu ukishaambiwa huyu ni ndugu jua ni damu moja, ndio hamjachangia tumbo ila chanzo chenu ni kimoja yaani kwa mababu zenu na bibi zenu hivyo damu ni moja. Acha kujipotosha mkuu na kupotosha huu umma
 
Dhambi anaihukumu Mungu, je Mungu anahitaji evidence yoyote toka kwako au shahidi!?
Mtoto wa mama mdogo sio dhambi? Mkuu ukishaambiwa huyu ni ndugu jua ni damu moja, ndio hamjachangia tumbo ila chanzo chenu ni kimoja yaani kwa mababu zenu na bibi zenu hivyo damu ni moja. Acha kujipotosha mkuu na kupotosha huu umma
ndugu ni uliechangia nae mzazi,wengine ni jamaa.jifunze kiswahili kwanza,pili mtu hufata zaidi ya 70% ya dna kwa baba yake,hiyo inamaanisha wewe na mtoto wa mjomba/shangazi mnatofautiana sana dna
 
Back
Top Bottom