Ndoto hii nilishaielezea mara kadhaa katika mitandao ya kijamii Ili nipate mawazo kwa wenye uzoefu,ila niseme sijawahi kuilewa kama niielewavyo sasa maana sasa ni kama narudia mo ie flani ya kutisha.
Nilianza kuiota mara baada ya Magufuli kufariki na nlikuwa naiota almost every day,same dream.
Naota niko sehem ndani ya nchi hii wananchi wanakimbia huku na kule kuwaepuka watu (ni waite wanajeshi japo sijui ni jeshi Gani) maana walikuwa wamevaa kininja na kufunika nyuso zao ,jezi zao nyeusi kama SWAT wa marekani na wako full mkoko,na for some reason for the first wave nilijua Hawa sio wanajeshi kutoka nchini mwetu (sijui kwann ila mpaka sasa najiuliza nlijuaje ni kutoka nje wakati walikuwa wamevaa kininja (mpaka sasa sijui)
Ila walitesa watu sana na kuwauwa hovyo hovyo na kusababisha hofu kuu.
Katika ndoto hii iliyojirudia ilionyesha mawimbi matatu makubwa,la pili na la tatu likiwa kubwa kuliko la kwanza na ndoto hii ilinitesa sana.
Katika ndoto hii watoto na wanawake walipata shida kuu
Kwa upande wangu wakati naota ndoto hii niseme ni kipindi kigumu mno kwangu maana ndoa na kazi nlishapoteza wakati wa utawala wa Jiwe so nilijua ndoto zile ni kutokana na stress zihusuzo maisha yangu (pia niliambiwa hivyo na mchungaji mmoja nliyeenda kuomba usharudi juu ya ndoto hii)
fast forward to Oct 29 mwaka 2025 usiku wa kuamkia Oct 30 nikaota the same vividly dream na yaliyotokea ndiyo yaliyotokea.
WIki baada ya internet kuachiwa nikashawishika kuingia JF niangalie hizo picha ambazo naskia zinatisha,na kweli zinatisha ila kuna jambo likaniambia haya ulishaambiwa yatatokea sasa unashangaa nini?
NIkaona na wengine humu JF wakielezea ndoto zao walizoota kipindi Cha nyuma,wengine wakielezea yanayoenda kutokea soon!!Huku wakijitokeza wengine wakibeza au wakisema ni ndoto za kuunganisha matukio,may be ni sahihi au maybe Mungu anataka kuwapa taarifa wenye haki wake kwa mambo ambayo hayana budi kutokea.
Kuhusu kutokea ...Mungu anasema halina BUDI.
kama kuombea,OMBEA watu wenye haki Ili Mungu akawatunze maana watahitajika wakaliinue Tena taifa.
Nimebishana sana na sauti ndani mwangu ambayo naamini ni Mungu Kuwa sioni sababu ya kutoa bandiko hili maana kama wakiona watasema ni ndoto za bangi pia JF ni jukwaa dogo ila Mungu kaniambia litamfikia tu hata mmoja wa watu wake aliye na haki.
MUNGU WETU ATUSIMAMIE
Nilianza kuiota mara baada ya Magufuli kufariki na nlikuwa naiota almost every day,same dream.
Naota niko sehem ndani ya nchi hii wananchi wanakimbia huku na kule kuwaepuka watu (ni waite wanajeshi japo sijui ni jeshi Gani) maana walikuwa wamevaa kininja na kufunika nyuso zao ,jezi zao nyeusi kama SWAT wa marekani na wako full mkoko,na for some reason for the first wave nilijua Hawa sio wanajeshi kutoka nchini mwetu (sijui kwann ila mpaka sasa najiuliza nlijuaje ni kutoka nje wakati walikuwa wamevaa kininja (mpaka sasa sijui)
Ila walitesa watu sana na kuwauwa hovyo hovyo na kusababisha hofu kuu.
Katika ndoto hii iliyojirudia ilionyesha mawimbi matatu makubwa,la pili na la tatu likiwa kubwa kuliko la kwanza na ndoto hii ilinitesa sana.
Katika ndoto hii watoto na wanawake walipata shida kuu
Kwa upande wangu wakati naota ndoto hii niseme ni kipindi kigumu mno kwangu maana ndoa na kazi nlishapoteza wakati wa utawala wa Jiwe so nilijua ndoto zile ni kutokana na stress zihusuzo maisha yangu (pia niliambiwa hivyo na mchungaji mmoja nliyeenda kuomba usharudi juu ya ndoto hii)
fast forward to Oct 29 mwaka 2025 usiku wa kuamkia Oct 30 nikaota the same vividly dream na yaliyotokea ndiyo yaliyotokea.
WIki baada ya internet kuachiwa nikashawishika kuingia JF niangalie hizo picha ambazo naskia zinatisha,na kweli zinatisha ila kuna jambo likaniambia haya ulishaambiwa yatatokea sasa unashangaa nini?
NIkaona na wengine humu JF wakielezea ndoto zao walizoota kipindi Cha nyuma,wengine wakielezea yanayoenda kutokea soon!!Huku wakijitokeza wengine wakibeza au wakisema ni ndoto za kuunganisha matukio,may be ni sahihi au maybe Mungu anataka kuwapa taarifa wenye haki wake kwa mambo ambayo hayana budi kutokea.
Kuhusu kutokea ...Mungu anasema halina BUDI.
kama kuombea,OMBEA watu wenye haki Ili Mungu akawatunze maana watahitajika wakaliinue Tena taifa.
Nimebishana sana na sauti ndani mwangu ambayo naamini ni Mungu Kuwa sioni sababu ya kutoa bandiko hili maana kama wakiona watasema ni ndoto za bangi pia JF ni jukwaa dogo ila Mungu kaniambia litamfikia tu hata mmoja wa watu wake aliye na haki.
MUNGU WETU ATUSIMAMIE