Jonash
Senior Member
- Dec 3, 2012
- 164
- 37
Habari,
Hivi karibuni nimekua nikiota mara nyingi jambo moja ambalo limeshapita...huwa nipo shule nasoma,either advanced au ordinary levels wakati nimeshamaliza...hii hali imekua ikinitokea mara nyingi sana mpaka najiuliza kwanini naota ndoto ya aina moja mara nyingi? Mwenye kuweza kufahamu chochote anisaidie.
Nawasilisha.
Hivi karibuni nimekua nikiota mara nyingi jambo moja ambalo limeshapita...huwa nipo shule nasoma,either advanced au ordinary levels wakati nimeshamaliza...hii hali imekua ikinitokea mara nyingi sana mpaka najiuliza kwanini naota ndoto ya aina moja mara nyingi? Mwenye kuweza kufahamu chochote anisaidie.
Nawasilisha.