Ndoto zangu za kujiunga JF zimetia

Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
Mkuu princemikazo karibu jukwaani.

Bila shaka ukiwa kama mgeni unaweza kujua ama kusikia maneno hayo uliotaja kama avatar,Pm, mods na kadharika pia waweza ukawajua members kama uliowataja kwa kuwa ni wazoefu na wanamuda mrefu humu.

Swali langu wewe mgeni, umejuaje jinsi ya ku quote thread au comment ya mtu humu ndani? Au nayo umejifunza ukiwa mgeni
Huko nje?

Nijibu tu hili.

Pili, Wanaume Tumezoea Lawama - JamiiForums tangu rais wako anaapishwa ulikuwa unasoma!!! dalasa la ngapi embu nikumbushe tena lakin mkuu sasa yapata miaka mitatu umeshapata mke na beki tatu juu? . Kweli una speed ya supersonic. Eehh KA'BINTI KA BABA MWENYE NYUMBA - JamiiForums na huyu mtoto wa mwenye nyumba bila shaka ume mdowload humu jf.


Bajaji mpya injini ya fekoni. Karibu mdogo wake @beiraboy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu princemikazo karibu jukwaani.

Bila shaka ukiwa kama mgeni unaweza kujua ama kusikia maneno hayo uliotaja kama avatar,Pm, mods na kadharika pia waweza ukawajua members kama uliowataja kwa kuwa ni wazoefu na wanamuda mrefu humu.

Swali langu wewe mgeni, umejuaje jinsi ya ku quote thread au comment ya mtu humu ndani? Au nayo umejifunza ukiwa mgeni
Huko nje?

Nijibu tu hili.

Pili, Wanaume Tumezoea Lawama - JamiiForums tangu rais wako anaapishwa ulikuwa unasoma vipi dalasa la ngapi embu nikumbushe tena lakin mkuu miaka mitatu umeshapata mke na beki tatu juu? . Kweli una speed ya supersonic. Eehh na huyu mtoto wa mwenye nyumba bila shaka ume mdowload humu jf.


Bajaji mpya injini ya pikipiki. Karibu mdogo wake @beiraboy

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana mkuu,,Kuanzisha thread pamoja na ku-quote nimefundishwa na member wa humu,,Hiyo thread ya Mke sijui house girl pamoja na binti wa Mwenye nyumba angalia hiyo thread iko jukwaa gan mkuu??Iko jukwaa la Utani/jokes+Udaku,Unataka kusema Red scorpion anachokipost kwenye ilo jukwaa au Numbisa ni maisha yake kweli??Kuhusu shule 2015 nilikua Form4 saiv niko chuo,,Sijui nitakua nimekujibu vizuri mkuu?
 
Swali zuri sana mkuu,,Kuanzisha thread pamoja na ku-quote nimefundishwa na member wa humu,,Hiyo thread ya Mke sijui house girl pamoja na binti wa Mwenye nyumba angalia hiyo thread iko jukwaa gan mkuu??Iko jukwaa la Utani/jokes+Udaku,Unataka kusema Red scorpion anachokipost kwenye ilo jukwaa au Numbisa ni maisha yake kweli??Kuhusu shule 2015 nilikua Form4 saiv niko chuo,,Sijui nitakua nimekujibu vizuri mkuu?
Lakini pia Suala la Ku-quote mbona kwenye coment ya mtu kuna option kabisa pale kuna like na Reply..!!
 
Swali zuri sana mkuu,,Kuanzisha thread pamoja na ku-quote nimefundishwa na member wa humu,,Hiyo thread ya Mke sijui house girl pamoja na binti wa Mwenye nyumba angalia hiyo thread iko jukwaa gan mkuu??Iko jukwaa la Utani/jokes+Udaku,Unataka kusema Red scorpion anachokipost kwenye ilo jukwaa au Numbisa ni maisha yake kweli??Kuhusu shule 2015 nilikua Form4 saiv niko chuo,,Sijui nitakua nimekujibu vizuri mkuu?
Mkuu princemikazo umejitahidi lakini maelezo yako bado siyo concrete naona bado una tu- blindfold kuhusu ugeni wako.

Sasa mkuu mbona unatufumbua macho kwa maelezo yako maana mtu ukipost kuna mda mwingne unaweza hata usijue umepost jukwaa lipi Lakini wewe umejua hadi post ilipowekwa na jukwaa kabisa from general to specific hii haijawahi tokea(in Lisu's voice).

Pili, umefundishwa na memba gani na kwa njia gani maana ku-quote umeanza kwenye thread yako ya kwanza wakati pm hujaijua sasa huyo memba mmekutana wapi hadi akufundishe ku- quote?

Tatu, Umeingia na kujua kabisa unaanzia wapi kutu fake na story zako. Maana mgeni huja.hujitambulisha.hupokewa na mengine hufuata.sasa ghafla bin vuu unakuja na uzi wa mke,house girl,mtoto mwenyenyumba. Kiukweli kutoka moyoni kwa sisi tulio wazoefu humu hatuta kuamini hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu princemikazo umejitahidi lakini maelezo yako bado siyo concrete naona bado una tu- blindfold kuhusu ugeni wako.

Sasa mkuu mbona unatufumbua macho kwa maelezo yako maana mtu ukipost kuna mda mwingne unaweza hata usijue umepost jukwaa lipi Lakini wewe umejua hadi post ilipowekwa na jukwaa kabisa from general to specific hii haijawahi tokea(in Lisu's voice).

Pili, umefundishwa na memba gani na kwa njia gani maana ku-quote umeanza kwenye thread yako ya kwanza wakati pm hujaijua sasa huyo memba mmekutana wapi hadi akufundishe ku- quote?

Tatu, Umeingia na kujua kabisa unaanzia wapi kutu fake na story zako. Maana mgeni huja.hujitambulisha.hupokewa na mengine hufuata.sasa ghafla bin vuu unakuja na uzi wa mke,house girl,mtoto mwenyenyumba. Kiukweli kutoka moyoni kwa sisi tulio wazoefu humu hatuta kuamini hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Alienifundisha kanielekaza live yaani practically coz nilikutana nae kabisa tukakaa akaingia jf akaanza kunielekeza,Pia kuhusu kuchagua jukwaa kila jukwaa pale juu kuna Title thread na sehem ya kupost,so ukipost pale direct unakua umepost kwenye jukwaa husika mkuu..Ushanifahamu vyedi?(In Mussa Husein's voice)
 
(Costful ,succes, succsesful, mamber) angalia makosa yako--- dogo wewe unajitahidi katika lugha ya kiingereza, lakini bado unatakiwa uongeze bidii zaidi ndipo ulete "posts" zako humu kwa kiingereza. Soma "grammar" zaidi.
Unaweza kuwa na ushauri au maoni mazuri ila ukashindwa namna ya kuwasilisha, unawezaje kuniita dogo kwa mfano? Kwa kigezo kipi?
but all in all your advice is good in case of grammar...
Be blessed.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuwa na ushauri au maoni mazuri ila ukashindwa namna ya kuwasilisha, unawezaje kuniita dogo kwa mfano? Kwa kigezo kipi?
but all in all your advice is good in case of grammar...
Be blessed.


Sent using Jamii Forums mobile app


Samahani, mimi ninakumbuka nilipokuwa darasa la saba nilikuwa naandika kiingereza kama chako, basi nikikumbuka umri wangu wakati huo kama miaka 16 hivi, nikaona labda na wewe unao umri huo pia, kama nimekosea samahani.

But never give up .
 
Back
Top Bottom