Pablo
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 2,441
- 2,541
Mkuu princemikazo karibu jukwaani.Shikamooni wakuu,najua wote humu ni wakubwa kuliko mimi,,Naomba Niweke wazi furaha yangu ya kujiunga Jamiiforum tangia Nikiwa secondary miaka ile ya Uchaguzi mkuu uliomweka huyu Rais wa awamu ya 5 madarakani,,Jf ili nisaidia sana na inaendelea kunisaidia katika mambo ya kitaaluma hadi kesho hususani jukwaa la elimu na Lugha,,Humu kuna watu wana upeo mkubwa sana,pia Jf ni sehemu ya Elimu na ku-refresh mind pia cause never bored at all,OMBI langu naomba niambiwe maana ya hivi vitu:
Moderator,Avatar,PM,hasa iyo PM maana isije ikawa ni ufupisho wa jina langu Prince Mikazo,,,pia nna shida na hawa watu wanisaidie vitu fulani:
GuDume Gwenu Gwambegu,Mahondow,Miss chagga na Natafuta,Zero IQ,Never see Me,General Galadudu,Mama sabrina,Ushmen,Pascal Mayalla,Smart911,Numbisa.Joka jeusi....Wasalaaam
Bila shaka ukiwa kama mgeni unaweza kujua ama kusikia maneno hayo uliotaja kama avatar,Pm, mods na kadharika pia waweza ukawajua members kama uliowataja kwa kuwa ni wazoefu na wanamuda mrefu humu.
Swali langu wewe mgeni, umejuaje jinsi ya ku quote thread au comment ya mtu humu ndani? Au nayo umejifunza ukiwa mgeni
Huko nje?
Nijibu tu hili.
Pili, Wanaume Tumezoea Lawama - JamiiForums tangu rais wako anaapishwa ulikuwa unasoma!!! dalasa la ngapi embu nikumbushe tena lakin mkuu sasa yapata miaka mitatu umeshapata mke na beki tatu juu? . Kweli una speed ya supersonic. Eehh KA'BINTI KA BABA MWENYE NYUMBA - JamiiForums na huyu mtoto wa mwenye nyumba bila shaka ume mdowload humu jf.
Bajaji mpya injini ya fekoni. Karibu mdogo wake @beiraboy
Sent using Jamii Forums mobile app