Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,319
- 4,304
Hallhoo Marealle, Shimbonyi mbee! habari ya foo, Huku kwetu madili hayachanganyi mangi, tunasubiri lile dili la bro Freeman likitiki mangi itakuwa poa maana palle ikulu tutatinga na washkaji wa kishimundu kama home! Tena amesema mikutano yoote ataleta kwenye hoteli yangu au ya Mushi, Tarimo, Mtei na ya wakina Shangali, we wacha tu mangi, tumenyanyasika sana mangi! eti walikuwa wanasema sie wachaga hatufai kushika ikulu eti tuna ukabila! cha! yaani kumwambia Swai apate tenda ya kulisha ikulu imeshakuwa ukabila!....... itaendelea.