Ni upendo tu uliokuwa nao kwao, ndo maana wanabaki kwenye mawazo yako. Kama dini yako inaruhusu kuwaombea marehemu, basi fanya ibada ya kuwaombea pumziko la amani. Mfano, kama mkatoliki omba misa kwa ajili yao.wataalamu naomba mnijuze nini kinaweza kusababisha ndoto za mara kwa mara kwa wazazi walikwisha tangulia mbele ya haki.
inategemea ndoto hizo zinakuwaje, labda ukimwaga zaidi utaweza saidiwa.je walifariki vifo vya kawaida bila utata?