nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
1. Zamani wanaume walioa na wanawake waliolewa. Kila mmoja alitimiza majukumu yake vyema na kwa staha kubwa. Siku hizi watu wanaoana. Majukumu yote ni ya wana ndoa bila kujali jinsia.
2. Zamani wanawake walikuwa wasikivu kwa waume Zao. Utii ulikuwa juu. Siku hizi wanawake wabishi kinoma. Wanatafuta tuzo za ubishi ktk familia.
3. Zamani wanawake walivaa kanga, sketi, gauni n.k siku hizi ni mwendo wa suruali za kubana na nguo za ajabu ajabu.
4. n.k
Unadhani kuoana kwa sasa ndio kunawafanya wawe wabishi kwa waume zao?
Toa maoni yako tafadhari..
2. Zamani wanawake walikuwa wasikivu kwa waume Zao. Utii ulikuwa juu. Siku hizi wanawake wabishi kinoma. Wanatafuta tuzo za ubishi ktk familia.
3. Zamani wanawake walivaa kanga, sketi, gauni n.k siku hizi ni mwendo wa suruali za kubana na nguo za ajabu ajabu.
4. n.k
Unadhani kuoana kwa sasa ndio kunawafanya wawe wabishi kwa waume zao?
Toa maoni yako tafadhari..