Huu ndio ukweli! asilimia 80% za hufungwa wakati mimba ina miezi zaidi ya mitatu, 18% wakati wana watoto tayari na 2% wakati wamekaa pamoja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka mitatu. Kwa takwimu hizi 0% ndio ndoa sahihi, sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani! Mbaya zaidi hata harnmoon hakunaga kabisaa!
Ni kusubiri muda wa vibweka ukumbini!