MZEE WA ROCK JF-Expert Member Joined Oct 2, 2011 Posts 622 Reaction score 152 Nov 13, 2013 #21 bunge la Kenya jana lilijaa kisa kuna muswada wa 50-50, wabunge wanaume walipingaje hiyo kitu!!! wanawake wako very strategic na idea zao,
bunge la Kenya jana lilijaa kisa kuna muswada wa 50-50, wabunge wanaume walipingaje hiyo kitu!!! wanawake wako very strategic na idea zao,
Sista JF-Expert Member Joined Sep 29, 2013 Posts 3,208 Reaction score 1,038 Nov 13, 2013 #22 Daud omar said: Heh mkataba wako mfupi sana Sista Click to expand... Ukinogewa na 'ndoa' yangu si utarenew daud omar
Daud omar said: Heh mkataba wako mfupi sana Sista Click to expand... Ukinogewa na 'ndoa' yangu si utarenew daud omar
D DRIMAA Member Joined Jul 2, 2011 Posts 27 Reaction score 22 Nov 14, 2013 Thread starter #23 kurenew kupo... me nataka mwanamke wa kunizalia tu basi...miaka mi3 mkataba unaisha anasepa
Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 986 Nov 14, 2013 #24 Sista said: Ukinogewa na 'ndoa' yangu si utarenew daud omar Click to expand... Tunaingia mkataba mwengine bila shaka
Sista said: Ukinogewa na 'ndoa' yangu si utarenew daud omar Click to expand... Tunaingia mkataba mwengine bila shaka